Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Hakika timu za Mwanza zinabahati ya mtende Sana japo sio wao waliopanga iwe hvyo
Mgagasiko wa upangaji wa matokeo kwa timu ya kitayose toka tabora utainufaisha pamba kupanda daraja
Kama mtakumbuka mwaka ambao mbao fc ilopanda daraja ilopitia njia hii ya Pamba
Na muhusika mkuu wa haya yote ni bwana YUSUF KITUMBO amehusika katka matukio yote mawili had akala nyundo ya maisha lakn uongoz wa karia ukamtoa kifungon na Leo Tena uongoz huohuo unempiga nyundo nyingne ya maisha.
Hongeren pamba fc mkapambane sasa
Mgagasiko wa upangaji wa matokeo kwa timu ya kitayose toka tabora utainufaisha pamba kupanda daraja
Kama mtakumbuka mwaka ambao mbao fc ilopanda daraja ilopitia njia hii ya Pamba
Na muhusika mkuu wa haya yote ni bwana YUSUF KITUMBO amehusika katka matukio yote mawili had akala nyundo ya maisha lakn uongoz wa karia ukamtoa kifungon na Leo Tena uongoz huohuo unempiga nyundo nyingne ya maisha.
Hongeren pamba fc mkapambane sasa