Recent content by THE ARSENAL

  1. T

    Shina la CCM Maryland lafunguliwa, Mrisho Mzese mwenyekiti

    Wote hao wanaoonekana ni watoto wa vigogo wa serikalini. Lazima wafanye hivyo kutetea ufisadi wa wazazi wao maana ndio umewafikisha hapo. Wapuuzi sana hao
  2. T

    Josephine unazidi kumharibia Slaa, hutakaa uwe First Lady wa nchi hii

    Mtoa Maada kwa ushauri wangu wa bure...unazidi kuiangamiza ACT-Tz kwa mada za kipuuzi. Kwanza hicho ni chama chetu waha wa Ujiji. Huyo mwigamba, kitila ni kama waajiliwa wa saccos yetu. "waha kwanza....Taifa Baadae". Hii kaulimbiu ya mdau mmoja wa Fb inafaa sana.
  3. T

    Abel Magembe-mgombea ubunge jimbo la Sumbawanga Mjini-CHADEMA

    Hongereni makamanda. Mungu Yuko nanyi. Chadema Daima
  4. T

    Vyeo na ubunge wa upendeleo, CHADEMA kama CCM; Tutemeni mate chini

    Mtela mwampamba ni mvuta-bangi asiyepata mlo kamili...hivyo bangi imechakachua ubongo wake. Namfahamu A-Z nimeishi nae kwa ukaribu sana, kipindi flani ilibidi nimfukuze geto.chumba kilikuwa kama store ya bangi na viroba. Ukweli ni mwanasiasa asiyenasifa ya kuwa mwanasiasa. Anatafuta mkate kwa...
  5. T

    Makonda asimika makamanda 16 wa UVCCM mkoa wa Singida, amsifu Tundu Lissu

    Pole Shonza Juliana. Umeangukia Pua. Nakushauri ujiunge na "SACCOS" ya Waha wa Kigoma(ACT-Tz). Japo itabidi ubadilishe jina na dini.
  6. T

    Inapotokea Chama Pinzani kupambana na Chama Pinzani badala ya CHAMA TAWALA

    Waha wote tunashukuru Mungu kwa kupata "Saccos" yetu.tunamshukuru Mungu kwa kijana wetu Zzk kutuletea Saccos yetu.
  7. T

    Mbunge wangu SELASINI na mbunge wa kufikia LEMA, mimi nataka kura ya WAZI..

    Mbunge wangu Zitto nataka Kura ya siri. Mbunge wangu wa kambo Hamisi Kugwangala, Kilaza mkuu Aden Rage, Mzee wa vichanga Samweli Sitta, Mzee wa kubaka vitoto Kapuya naombeni KURA ya Siri itumike
  8. T

    Tuhuma ya wizi wa simu dhidi ya Paul Makonda, vijana tusimame pamoja

    Mleta Maada mpuuzi sana. Vijana tumuunge mkono mwizi/mzinzi? Makonda anatuwakilisha vijana wa kada ipi? Sio kwamba amechaguliwa kwa sababu ya Ukada wake wa Ccm? Hivyo anawakilisha wezi wenzake wa ccm
  9. T

    Pigeni kelele sisi tunasonga mbele hii ndio ACT-Tanzania kwa uzalendo na maendeleo

    Naombeni mtuache waislam wa Kigoma tuwe huru. Kwanini mtulazimishe kujiunga na chama chenu? Naomba majibu tafadhari. Si wengine hatupendi ujinga. Mmekuja kujazana huku Ujiji utafikiri siafu. Mnatutishia sisi waislamu kujiunga na chama cha kipuuzi. Na huyu imamu wetu wa msikiti asipoangalia...
  10. T

    Upotoshwaji unaofanywa na chadema juu ya chama cha act tanzania

    Nilitoa post ya awali ktk "thread" flani. Narudia tena na hapa, na nitarudia tena na tena. Na niko tayari kutoa ushahidi duniani na mbinguni. ACT ni chama cha Kiislam. Mimi mi kati ya waathirika wakubwa wa chama hiki. Kimsingi mimi nilikuwa mwanachama wa NCCR miaka iliyopita na kuamua kuachana...
  11. T

    Chadema na ccm wapenyeza mamruki kibao ACT

    Naombeni mnisaidie hivi huko ULAYA na nchi nyinginezo kuna Chama cha Siasa kilichopewa jina la KISWAHILI? Kama hakuna huyu mdudu ACT, NCCR, CUF, DP wanatoa taswira gani? Ni vyama vya Kizalendo au kujipendekeza mataifa ya Ulaya. Mtu na akili zako unajua watu Wako wa Kigoma shule hawana, matokeo...
  12. T

    Anaekataa malipo ya kazi anaishije? anapata wapi hela za kujikimu na kusaidia wananchi wake?

    Ameshapokea rushwa ya kutosha hana haja na posho za bunge. Toka mwaka 2008 anahongwa madola na ccm mpaka Leo. Ana kila sababu ya kukataa posho ili kujisafisha
  13. T

    Kilimanjaro yafanya vizuri kielimu,Kigoma Singida wafanya vibaya

    then tukiwakuta wachaga wengi maofisini tunalalamika eti wanapendeleana kumbe wamesoma. Sisi badala tufikirie kukuza elimu Kigoma tunashinda vijiwe vya kahawa kumjadili Zitto. Shame-on- us. Ndalushe, abhaha ni-tuvyuke.
  14. T

    Mdahalo wa wazi kati ya Dr. Slaa Vs Dr. Kitila mkumbo

    daaah...hata kama hatujui siasa ILA wewe umetia fola. Kwamva Dr. Slaa hajawahi kushiriki mdahalo wowote? U must be crazy
Back
Top Bottom