Recent content by The Alab

  1. The Alab

    Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

    Hizo ni changamoto nzito nicheki WhatsApp tunaweza fanya kitu na ukaumba uhai ndani yako 0673607107
  2. The Alab

    Pata mikopo na Opportunity Tanzania Ltd

    Je wahitaji mkopo kwa ajili ya shule yako kama; -Kuboresha majengo -Vifaa kama dawati -Usafiri -mafunzo ya walimu n.k ......Njoo ketu Opportunity Tanzania Ltd kwa aliye Iringa na upate mkopo kuanzia 1M mpaka 40M na riba ni 20% kwa mwaka yaani sawa na 1.7% kwa mwezi ....changamkia fursa
  3. The Alab

    Supply ya wanyama na nyama

    kwa soko la zanzibar inakaaje bro naweza pata more info plz
  4. The Alab

    Supply ya wanyama na nyama

    Habari wanaJF, Me nipo chuo mwaka wa 1 ila nimeanzisha mradi wa ufugaji Nguruwe na pia natarajia kuanza na kuku, bata, mbuzi, kondoo kwa ajili ya kufanya supply yangu kwenye mahotel na migahawa mbalimbali. Naomba trend ya soko kwa anayefahamu ili nijipange vizuri.. Asante.
  5. The Alab

    Project funding sources

    goodluckelioth@gmail.com nhchek hapo pia tuma uhitaji wako na kila kitu tuangalie wapi twaweza anza niko iringa university huku
  6. The Alab

    Kamata fursa upige mihela fasta.

    dah hii ni njaa si fursa then matokeo yake n mabaya kama kweli utafanikiwa
  7. The Alab

    Anayehitaji line ya tigo tigopesa na navodavodacom vodacomM-pesa

    duh wanakupa na mtaji au mana wanataja bei kama kununua na simu yake
  8. The Alab

    Adhabu za kijeshi

    dah taifa gani?
Back
Top Bottom