Habari Wana jamii.
Naomba kuuliza ni mda gani RITA wanachukua kuchakati taarifa zako na kurudisha majibu?
Mfumo wa Sasa upo kitechnology Zaidi, mtu anaeweza kuomba cheti online kwa kutumia simu yake.
Je kama taarifa sio sahihi ni namna gani wanarudisha majibu?
Ni mwezi Sasa unapita toka...
Shida ya sisi watu pale vitu visivyo enda sawa ndio tunatoa maneno yetu but kama jana England angeshinda sizan kama Kuna chochote kingeongelewa kibaya kuhus HARRY KANE
Nawasilisha
JE WATU WA ZAMANI WALIISHI KWA IMANI ZIPI?
katika historia inasemakana kwamba mababu na mabibi zetu waliishi kwa Imani zao hapa nikimaanisha kwamba Mila na desturi
Kuenzi watu walio kufa mda mrefu ulio pita, wakiamini kwamba wanapata msaada wakifanya matambiko.
IImani thabiti inasemakana watu...
Ipo nguvu katika ulimwengu wa kiroho inaitwa universe power masaa na dk kufuatana ni moja ya ishara ambayo ulimwengu unajaribu kuelezea kitu fulani katika maisha yako lakini bado hujui ni wapi pa kuanzia lakini sio shida naweza kukupa muongozo kdg nitafute whatsapp 0686310491
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.