Hivi wewe ritz ni mtu? Au ni robot la ccm? Nina hakika JK amekua akigongea misaada kutoka kwa Davd Cameroon mulize kama tumepona kungizwa kwenye mashart unayoyahofia! samahani ccm msininukuu vibaya!
Umesema kweli mkuu, kwa watanganyika muungano ulitunyang'anya utaifa wetu mchana kweupee! Tukabakia na Tanzania inayotuzuia kujiamlia mambo yetu wenyewe, tunalazimishwa kuamliwa mambo yetu na wazenji. Ni sahihi kabisa kwamba CHADEMA ikomaea kutukomboa watanganyika, huyu mzenji Hamadi aende ccm...
Umesema kweli mkuu, kwa watanganyika muungano ulitunyang'anya utaifa wetu mchana kweupee! Tukabakia na Tanzania inayotuzuia kujiamlia mambo yetu wenyewe, tunalazimishwa kuamliwa mambo yetu na wazenji. Ni sahihi kabisa kwamba CHADEMA ikomaea kutukomboa watanganyika, huyu mzenji Hamadi ccm inayokufa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.