Tanesco acheni ubabaishaji. Tangu juzi sijafanikiwa kununua umeme kwa simu. Pesa imekatwa lakini token sijapata!
Itakuwa vizuri mkijulisha umma kuhusu kinachoendelea.
HOJA HUJIBIWA KWA HOJA . HAPO UMETOA POVU TU. UNGETUSAIDIA SANA KAMA UNGELETA HAPA SHERIA ILIVYO ILI KUONYESHA KUWA NEC WANA HIGH LEVEL OF RETARDATION
jIBU HOJA!
Kuna mashirika ya upadre kadhaa hapa Dar es Salaam. Kwa kuanzia, waone maparoko wafuatao:
1) Parokia ya Kimara (Calretian Fathers)
2) Paroko wa Mbezi Beach - Gasper de Buffalo (Damu Azizi ya Yesu)
3) Paroko wa Yombo Vituka (Wakamiliani - Wa hudumu wa Wagonjwa)
4) Paroko wa Hananasifu (Holy...
Mtasubiri sana.
Kwa vyovyote vile ni makosa makubwa sana kufikiria kuna uhuru bila mipaka. Ni kweli kuwa uhuru wa kusema cj=hochote, kuamini dini yoyote, kujiunga na kikundi chochote ... n.k, upo kuwa mujibu wa katiba, lakini katiba hiyo hoyo inadai kuwa uhuru huo ni " ... bila kuvunja sheria"...
Wanaficha ushahidi wa alichoongea na Flynn.
Amemaliza mission, amekuwa dispensable, he knew to much!!. Typical of Usalama wa Taifa kokote duniani, Huyu amekufa kimyakimya kwa manufaa ya Taifa la Urusi
Nina wasiwasi huyu ni mmoja kati ya wale wanne waliosemwa hivi karibuni. Alipoingia hakutangaza, vipi anapotoka anatangaza? Sana anataka tumfanyie nini?
Kwa hiyo anyamaze hata hili?Ni lazima tujenge tabia ya kutaka kupata habari ambazo zina ukweli ndani yake. Kuandika habari ambazo zi za kweli na hazina uthibitisho, au ambazo vithibitisho ni vya kugushi ni jinai na pia ni kupoteza muda na pesa za wasomaji. Hivi mtu anapofanya hivyo nia yake ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.