Recent content by thadeus malingumu

  1. T

    Jeshi la Polisi lafanikiwa kuwaua majambazi wanne na kurejesha baadhi ya silaha zilizoporwa

    Yaani wewe ni wa kuondoa duniani kabisa.askari wamekukosea nini?
  2. T

    Tamko la Umoja wa Kizazi cha Kuhoji(UTG) kuhusu hali ya usalama nchini na kupotea kwa Ben Saanane

    Hivi tuna akili kweli?badala ya kuzungumzia wasiotakia taifa hili mema wanaoua wapiganaji wetu walinzi wa jamhuri mnatuletea mambo gani?Miserable horse!
  3. T

    Wakili Wasonga: Nitarudi tena mahakamani kupinga matokeo yaliyompa ushindi Tundu Lissu

    Be patient gentleman.your enemy can't automaticaly be our enemy.Big up my young bro!Wasonga.
  4. T

    Arusha: Lissu ang'ara, asanteni Waziri Mwakyembe na Serikali nzima

    I just salute your good english only.
  5. T

    Vyeti vya Kuzaliwa kabla ya Ndoa: Rais Magufuli ALIFUTA agizo la Waziri Mwakyembe

    raisi kweli kaona mbali. huyu waziri amesoma family law kweli.hajui kuna ndoa za kimila ukishalipa ngo'mbe zinazotakiwa hiyo ni ndoa halali?ni aina ya mizigo itakayomsumbua mkuu wa nchi.
  6. T

    Vyeti vya Kuzaliwa kabla ya Ndoa: Rais Magufuli ALIFUTA agizo la Waziri Mwakyembe

    Raisi yuko vizuri aisee na anaijua hii nchi.amemwambia apeleke mswada bungeni sio kutanka tuu.kuna watu wamezaliwa vijijini na kufunikwa ngozi za wanyama baridi isiwaue kwa umaskini viatu tumevaa tulipopata kumunyo au kipaimara kumbukumbu zipo kanisani tu.leo nikatafute wapi...
  7. T

    RC Makonda aamuru nyumba 36 kubomolewa bonde la mto Msimbazi

    kiingereza jamani.ni employee sio employers.
  8. T

    Kama Leo nikiwa Rais wa Tanzania ningefanya hivi

    Loo!! bangi tena nimeshakuzarau.
  9. T

    Tundu Lissu: Am told, People at the top aren't thinking and acting rationally anymore...

    not at english.na wewe ni wa juzi wa tujifunze lugha yetu kibanga ampiga mkoloni
  10. T

    Gwajima anaendelea kumshikia bango Makonda, adai amekimbia nchi kama Magufuli alivyotabiri

    Zamani divisin zero tulikuwa tunaita zile F nyingi ni four years fighting for food leo naona mmeleta misiati mingine.Anyway language always changed when people find more useful to speak something else.
  11. T

    Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

    nchi zenye waislamu wengi hazina maambukizi makubwa ya ukimwi kwa sababu wanafuata maagizo ya torati kikamilifu na wanaume wanatahiriwa.
  12. T

    Pata kiwanja kwa Tsh 2M

    piga picha ya eneo lilivyokaa
Back
Top Bottom