Hivi tuna akili kweli?badala ya kuzungumzia wasiotakia taifa hili mema wanaoua wapiganaji wetu walinzi wa jamhuri mnatuletea mambo gani?Miserable horse!
raisi kweli kaona mbali. huyu waziri amesoma family law kweli.hajui kuna ndoa za kimila ukishalipa ngo'mbe zinazotakiwa hiyo ni ndoa halali?ni aina ya mizigo itakayomsumbua mkuu wa nchi.
Raisi yuko vizuri aisee na anaijua hii nchi.amemwambia apeleke mswada bungeni sio kutanka tuu.kuna watu wamezaliwa vijijini na kufunikwa ngozi za wanyama baridi isiwaue kwa umaskini viatu tumevaa tulipopata kumunyo au kipaimara kumbukumbu zipo kanisani tu.leo nikatafute wapi...
Zamani divisin zero tulikuwa tunaita zile F nyingi ni four years fighting for food leo naona mmeleta misiati mingine.Anyway language always changed when people find more useful to speak something else.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.