Recent content by thadeilinda

  1. thadeilinda

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Kiukweli inauma sana pale unapo ona ukweli unapotoshwa. Mungu wewe ndie wajua ukweli tunaomba utete nao!
  2. thadeilinda

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Kaka zangu humu ndani si kila mwanamke yupo hivyo ni sawa na ukiangalia vidole vyako havilingani. Kuna wanaojiheshimu na kutambua nini maana ya ndoa na wapo ambao ndoa ni sifa hivyo si shida kwao kusaliti. Nawashauri msikate tamaa ya kuoa.
  3. thadeilinda

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Sikushauri kutoammimba kiumbe hakina hatia dada yangu. Mweleze mwenzi wako ukweli na mtafikia muafaka kama ni divorce au kulisongesha. Mungu akujaalie wepesi wa kulifikisha kwa mumeo.
  4. thadeilinda

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Dada yangu pole sana huyo shetani wako alikiwa mzungu nini?? Umetia fora duniani, mbinguni hata jahanamu pia. Mtoto atakaye zaliwa hana kosa. Kifupi mweleze ukweli mumeo!
  5. thadeilinda

    Nina point 28 kwa ngazi ya form four

    Kwa sasa umechelewa. Kama una d mbili ktk masomo ya science unaweza kupata nafasi ya lab tech upande wa afya. Jaribu mwakani
Back
Top Bottom