kijana hazijatangazwa na TANAPA directly but zimetangazwa na utumishi pitia web yao PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS ni tangazo la tarehe 1 April 2014
kuna mwana JF mmoja alipost taarifa za kuitwa kwenye oral udom akaattach na document yenye majina bt kesho yake akaitoa, UDOM kuna urasimu mwingi bt 2endelee kuamin kama ipo ipo 2! Mi toka nimalize chuo nshaomba kaz kama 10000 zingine waitwa interview zingine hauitw bt i wont give up! I know...
Wa2 wanapost v2 vya ajab mbona JF kuna majukwaa meng 2 huku 2juzane kuhusu kazi hayo mengine 2chekiane kwenye majukwaa husika! Samahan kwa kuvunja sheria wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.