Recent content by TETEMA

  1. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    itakuwa vizuri wakifanya hivyo kwani uzi utaimarishwa zaidi kwan uchunguzi utatiwa moyo na kuwekwa vitu muhimu sana kwa ajili ya mustakabali ya taifa la sasa na baadae. Mods wafanye hivyo
  2. T

    Wazanzibar muungano tutaununua...

    Kumbe mnauvunja muungano kwa sababu za kidini??? Mnafikiri kwa kutumia nini??? Hamjui kwamba hata Saud Arabia kunawakristu na watu wadini tofauti na hiyo?? Kuvunja muungano kwa sababu hiyo ni Ukosefu na ufinyu wa akili mno.
  3. T

    CHADEMA pelekeni M4C zanzibar.

    Jipya wanalo waliberali na Mashoga wenzao magamba waliowaoa?
  4. T

    Zanzibar kesho itapata uhuru wake

    Hivi nii Pemba inayotaka uhuru ama Unguja? Kama waislamu wasuni na washia wanauana wenyewe kwa wenyewe sembuse Pemba na Unguja? Mtagawanyika vipandevipande.
  5. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Haya ni malipo ya mhe. Kwa Nyerere. Hii ni baada ya kukataliwa mwaka 1995 kugombea urais
  6. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Wadau hivi karibuni nitawaletea uzi unaoonesha mpaango wa Kikwete na ccm wanavyopanga kuiuza Tanzania kabisa. Ushaidi kutoka mkutano mkuu wa Nec mwaka janna. Stay tuned.
  7. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Modes naomba muunganishe hotba ya mheshmiwa.Sugu kwenye uzi huu, hasa ukurasa wake wa kwanza hadi wa 14. Kuna maajabu mengine yaliyofanywa na Serikali hii. Mfano mauaji ya muandishi wa habari Richard Massau.
  8. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Kumbuka kunamaisha zaidi ya 7000 ya anayekufanya uukane uzarendo na Utu wako. Hawi kwenye nafasi aliyonayo sasa. Na taifa litabaki na maumivu kwa sababu ya wapuuzi wachache kama nyie.
  9. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    wewe ni miongoni mwa wahusika wa matukio haya.
  10. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Miamia Mkuu, Modes watalifanyia kazi.
  11. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Nalifanyia uchunguzi,Nitarekebisha kulingana na ripoti nitakayo ipata hivi punde.
  12. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Mwenye taarifa ya kanisa la TAG Tanga kuchomwa moto atujuze.
  13. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    TETESI: Kanisa la TAG huko Jijini Tanga lachomwa moto.
  14. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Chadema ipi hiyo inayosema rais msafi? Wanaosema mheshmiwa ni Dhaifu ndio mana tuko hapa ni akina nani?
  15. T

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Kuandika matukio kama yalivyotokea sio jinahi, ainisha nililoliandika ambalo halikutokea. 'Mtenda kosa hana kosa,bali anaeliona kosa na kukaa kimya huyo ndiye mwenye kosa' HOFU NI DHAMBI
Back
Top Bottom