Recent content by tetea tete

  1. T

    Kibu Denis wewe sio wa kuanzia benchi. Uamuzi sahihi ni kuondoka

    Ronaldo tu anaanzia Benchi itakuwa Kibu Denis Tumia akili Kocha ndio mwenye utalaamu wa kuamua mchezaji gani aanze kulingana na aina ya mchezo wewe mpiga DEBE unataka kutupangia Acha ujinga
  2. T

    Mawaziri waliotumbuliwa walikuwepo Tamasha la Kizimkazi

    Iliwalazimu wajipendekeze labda MAMA atawaonea huruma NJAA ni MBAYA SANA
  3. T

    Kauli ya Nape kuhusu ushindi katika uchaguzi ni kauli ya serikali nzima

    NAPE HAJAKURUPUKA NAPE KASEMA UKWELI NA NDIO MAANA MAKALLA KAMKOSOA KWANI KATOA SIRI Yao
  4. T

    PreGE2025 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yamkuta na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka Paul Makonda

    Je ADHABU ya kukataa Wito wa TUME na Hatia aliyokutwa nayo ni ipi?
  5. T

    Watanganyika fanyeni utafiti watu wanaosema Mitano Tena! Wapuuzeni haraka 2030 mtalia na kusaga meno

    Utawala uliopo wanafaidika nao kwani ni Awamu ya kujichotea
  6. T

    PreGE2025 Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

    Msigwa ni mpumbavu sana kwanini useme sasa wakati ulikuwa sehemu ya uongozi wa Chadema?
Back
Top Bottom