Recent content by TensorFlow

  1. T

    Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Biashara gani kwanza ili tuweze kukushauri vizuri.
  2. T

    Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Mkuu biashara yako ni nini na unatumia mfumo gani?
  3. T

    Tetesi: Kuna vigogo walambishwa asali wameandaliwa kama mashaudi kwenye kesi ya Lissu

    Hivi huwa inakuwaje namna hii ukishakuwa wa ile imani? Halafu ikatokea mtenda dhambi ni wa ile imani? Nina rafiki zangu wa ile imani, hata kama wafanye kituko huwa naamua kutokuwaambia ukweli kwa sababu ya reactions zao!
  4. T

    Operesheni nyundo ya usiku

    Hiyo si mlisema na kushikilia kwa miaka mingi kuwa hakuuawa, bali ilikuwa ni maigizo?
  5. T

    David Kafulila: Watanzania tupunguze Kasi ya kuzaliana. Jambo hili kiuchumi lina matokeo hasi - Dira2050

    Mashine gani kama Tz? Marekani kwenyewe wanahitaji watu kufanya kazi za mikono kibao.
  6. T

    David Kafulila: Watanzania tupunguze Kasi ya kuzaliana. Jambo hili kiuchumi lina matokeo hasi - Dira2050

    Anaongea nini, nchi nyingi zinakumbwa na tatizo la uhaba wa manpower.
  7. T

    Nimepigwa Tsh milioni 8 kwenye biashara ya uwakala kupitia mfanyakazi mzembe

    Kuna mfanyakazi wangu mmoja alitapeliwa zaidi ya mil 8. Ni uwendawazimu kwa sababu mfanyakazi anafanya jambo la ajabu ambalo hata uwe na akili ya kenge huwezi kufanya jambo kama hilo.
  8. T

    Nimepigwa Tsh milioni 8 kwenye biashara ya uwakala kupitia mfanyakazi mzembe

    Hutakaa ujue kama mfanyakazi wako ni mwendawazimu mpaka utakapokutana na tukio. Tena hawa graduates ndio ndezi kabisa.
Back
Top Bottom