Recent content by TensorFlow

  1. T

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Tatizo kubwa la Iran ni kushindwa kujua mpaka sasa shambulizi lilitokea wapi! MK254 njoo malizana na watu wako.
  2. T

    Mambo ya kuzingatia unapoanzisha mahuasiano na ''Single Mother''

    Upumbuvu uliopitiliza. Atakayeweza hii orodha, akipewa urais anaweza kukuza uchumi wa nchi zaidi ya uchumi wa USA ndani ya mwaka mmoja.
  3. T

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    "Qur'anic Suras are not only older than the Qur'an, but older than Muhammad and Islam as well": Examining the Newest Historical Research on Islam and the Earliest Quranic Manuscripts
  4. T

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Kuhusiana na hili, tuwasikilize Ritz, Alwaz, kimsboy na FaizaFoxy
  5. T

    TANZIA Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha ndugu yetu Mtanzania mwezetu Michael a.k.a Mike kilichotokea Afrika Kusini

    South Africa is not for everyone. Hillbrow ni mtaa wa kijeshi ndani ya Jburg. Heshimu mtu yeyote anayeishi au aliyeishi Hillbrow.
  6. T

    Natafuta Mwekezaji katika biashara yangu

    Malipo ya ada yana kamisheni ? Unayalipa kwa kutumia nini? Kulipa ada sio bure ?
  7. T

    Hivi ndivyo nilivyofanya ili kuinuka baada ya kufilisika na kuanguka kabisa kiuchumi

    Umeelezea neno nidhamu (discipline) kwa namna ambayo ni narrow sana. Nidhamu ni pana: unavyoishi, unavyopanga na kutekeleza mipango yako, unavyointeract na kila kitu/mtu: "Discipline is one of the most important personality traits in everyone's life. It refers to a set of rules and regulations...
  8. T

    Natafuta Mwekezaji katika biashara yangu

    Business is not for the weak.
  9. T

    Natafuta Mwekezaji katika biashara yangu

    Black Sniper kwa nini uliachana na hiyo biashara ?
Back
Top Bottom