Hivi huwa inakuwaje namna hii ukishakuwa wa ile imani? Halafu ikatokea mtenda dhambi ni wa ile imani? Nina rafiki zangu wa ile imani, hata kama wafanye kituko huwa naamua kutokuwaambia ukweli kwa sababu ya reactions zao!
Kuna mfanyakazi wangu mmoja alitapeliwa zaidi ya mil 8. Ni uwendawazimu kwa sababu mfanyakazi anafanya jambo la ajabu ambalo hata uwe na akili ya kenge huwezi kufanya jambo kama hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.