Recent content by TENGEFU

  1. TENGEFU

    Waziri Bashe tulipeni hela zetu wakulima tuliouza mbegu ASA, tunaumia

    Mimi ni mmojawapo wa wakulima tulioingia mkataba na wizara ya Kilimo kuzalisha mbegu bora za kilimo kupitia wakala wa uzalishaji wa mbegu bora za Kilimo; ASA. Ni takribani miezi 9 sasa tangu Agosti na September mwaka 2021tulizalisha na kuuza mbegu kwa mujibu wa mkataba wa uzalishaji hadi sasa...
  2. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Kwa ufupi wanatuvunja moyo kuingia mkataba mwingine na hata wengine waliokuwa tayari kufanya kazi na ASA watarudi nyuma. Sisi tunalima na kuzalisha kwa wakati muafaka. je wao wanao tatizo gani kutulipa kwa wakati? Na kama kulikuwa na tatizo kwa nini hawatupi mrejesho na badala yake hawapokei simu .?
  3. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Wapo wakulima waliolima mahindi, maharage na ngano Pesa ipo kwa utaratibu upi mbona hamuwaelezi wakulima kinachoendelea mnapigiwa hampokei simu? Tuandikieni barua kutuhakikishia tunalipwa lini ?.
  4. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Thanks mkuu habari zitamfikia ASAP
  5. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Naomba kaka nitashukuru sana
  6. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Asante ila najua hii imesababishwa na hawa maafisa wa ASA
  7. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Kinahoutuuma kwanini hawatuambii tatizo ni kitu gani wamebakia kunyamaza kimya kihuni?
  8. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Tuliingia kufanya kazi na serikali tukijua hakuna ubabaishaji kabisa lakini ninachokiona hapa ni maafisa waliowekwa kusimamia hii Taasisi wakitoa majibu ya kihuni kwa wakulima(wawekezaji) bila kueleza kwa nini mpaka sasa wakulima hawalipwi ili hali walishachukua mbegu
  9. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Kitu kibaya zaidi ASA hawasemi kwa nini hawatulipi fedha zetu
  10. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Naiomba serikali iingilie tu kati ili tulipwe hela yetu
  11. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Nimevumilia, nimefuatilia, nimedanganywa na hao hao ma Dokta wa ASA lakini hadi sas hamna malipo na hawataki kuelewa kuwa tumekopa hela
  12. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Mimi ni mkulima niliyeingia mkataba kuzalisha kwenye zaidi ya ekari 100 na hadi ninapoongea nimezungushwa vya kutosha
  13. TENGEFU

    Waziri Bashe tusaidie, ASA wametudhulumu fedha wakulima

    Sisi ni wakulima tunaozalisha kwa mkataba kwa makubaliano na wakala wa mbegu za serikali yaani agricultural seed agency (ASA) yenye makao yake mjini Morogoro na matawi mikoani. Msimu wa kilimo wa mwaka 2021 tulifanikiwa kuzalisha mbegu na kuwauzia ASA kwa mujibu wa mkataba. Katika hali ya...
  14. TENGEFU

    Waziri January Makamba tusaidie kupata fidia zetu TANESCO

    Hawa watumishi wa TANESCO wamekuwa mwiba mchungu kwa wananchi. Hebu angalia wanajeuzi ya kukataa kutii amri na hukumu ya mahakama wanaona watafanywa nini?
Back
Top Bottom