Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,800
- 11,332
Cheki uwanja wa PM yako nimekutumia.Naomba kaka nitashukuru sana
Cheki uwanja wa PM yako nimekutumia.Naomba kaka nitashukuru sana
Pole sana mkuu, ni mbegu za zao gani?.Sisi ni wakulima tunaozalisha kwa mkataba kwa makubaliano na wakala wa mbegu za serikali yaani agricultural seed agency (ASA) yenye makao yake mjini Morogoro na matawi mikoani. Msimu wa kilimo wa mwaka 2021 tulifanikiwa kuzalisha mbegu na kuwauzia ASA kwa mujibu wa mkataba. Katika hali ya kawaida tulitakiwa kuwa tumelipwa hela zetu by December 2021.
Ilipofika November 2021 wakulima wote baada ya kukabidhi mbegu tuliandika barua ya kuomba malipo kama ilivyo kawaida. Leo ni mwishoni mwa January 2022 ASA wamenyamaza kimya na hawataki kutulipa malipo yetu ya mamilioni ya shilingi. Tunapofuatilia kwa maafisa wakuu akiwemo mkurugenzi wa Uzalishaji Dr. Justin Ringo na engineer Sumuni wanatupa majibu ya mitaani mfano. Hela itawekwa tu. Tunapofuatilia malipo kwa simu hawa hawa akina Ringo na Sumuni wamekuwa hawapokei wala kujibu simu zetu na hawaleti mrejesho ni kwa nini hatupewi fedha zetu.
Wengi wetu tumekopa hadi Milioni 20 kupata mkopo wa kuzalisha kwa ajili ya ASA na tumeanza kuuza baadhi ya mali zetu kulipa madeni kwa sababu tulitegemea malipo ya kazi yetu yangetuwezesha kulipa madeni.
Mh Bashe naomba utusaidie ili tuweze kulipwa hela zetu na hii taasisi ambayo ni ya serikali
NB: Msimu wa kilimo unaanza maeneo mengi na ni hakika sisi tunaozalisha kwa ajili ya ASA ni dhahiri hatutaweza kuingia mkataba maana mtaji wetu umeshikiliwa na hawa ASA bila maelezo yoyote.
Tafadhali tusaidieni ili turudi tena kuzalisha
NB:ASA ni taasisi ya serikali iliyoko ndani ya Wizara ya Kilimo na makao yake makuu ni Morogoro
Wapo wakulima waliolima mahindi, maharage na nganoPole sana mkuu, ni mbegu za zao gani?.
Kama ni zao la alizeti hizo ndio zimesambazwa kwenye idara tofauti za kilimo kwa ajili ya kuwauzia wakulima ambapo kilo mbili ni 7000. Rai yangu ni mue na subira pesa yenu ipo.
Yaani statement kama hii ni ya kisiasa mno. Hawa watu mnawasaidiaje maana nina wasiwai kama wataingia mkataba mwingine. Fedha ipo ?Pole sana mkuu, ni mbegu za zao gani?.
Kama ni zao la alizeti hizo ndio zimesambazwa kwenye idara tofauti za kilimo kwa ajili ya kuwauzia wakulima ambapo kilo mbili ni 7000. Rai yangu ni mue na subira pesa yenu ipo.
Kama fedha ipo itabidi muwalipe pamoja na riba maana kama itabidi wainngie mkataba mwaka huu 2022 bei za pembejeo zimepanda karibia mara mbili . hiyo difference inayotokana na inflation mnaifidia vipi.Pole sana mkuu, ni mbegu za zao gani?.
Kama ni zao la alizeti hizo ndio zimesambazwa kwenye idara tofauti za kilimo kwa ajili ya kuwauzia wakulima ambapo kilo mbili ni 7000. Rai yangu ni mue na subira pesa yenu ipo.
Ulitakiwa kulipwa December 2021 na hii ni January 2022 nafikiri kusema umezungushwa vya kutosha siyo sawa.Mimi ni mkulima niliyeingia mkataba kuzalisha kwenye zaidi ya ekari 100 na hadi ninapoongea nimezungushwa vya kutosha
Pia kuna kitu kinaitwa time value for money kwa maana uwezo wa kununu kitu kwa shilingi moja mwaka jana unapungua kila siku. Tukubali ASA mmewaangusha wakulima na mnatakiwa muwajibike.Kama fedha ipo itabidi muwalipe pamoja na riba maana kama itabidi wainngie mkataba mwaka huu 2022 bei za pembejeo zimepanda karibia mara mbili . hiyo difference inayotokana na inflation mnaifidia vipi.
Halafu kumbuka hii ni taasisi ya serikali na sio private sector. Kama serikali ikifanya hivi je itakuwa na uwezo wa kuiwajibisha private sector ?Ulitakiwa kulipwa December 2021 na hii ni January 2022 nafikiri kusema umezungushwa vya kutosha siyo sawa.
Kwa ufupi wanatuvunja moyo kuingia mkataba mwingine na hata wengine waliokuwa tayari kufanya kazi na ASA watarudi nyuma. Sisi tunalima na kuzalisha kwa wakati muafaka. je wao wanao tatizo gani kutulipa kwa wakati? Na kama kulikuwa na tatizo kwa nini hawatupi mrejesho na badala yake hawapokei simu .?Halafu kumbuka hii ni taasisi ya serikali na sio private sector. Kama serikali ikifanya hivi je itakuwa na uwezo wa kuiwajibisha private sector ?
Nafikiri ndiyo maana ofisi nyingi zinazobid tender kama hazina mtaji wa kutosha hazijihusishi na tender za serikali kwakua malipo yao hua yanachelewa. Waweza shangaa inabidi usubiri mpaka mwanzo wa mwaka wa fedhaHalafu kumbuka hii ni taasisi ya serikali na sio private sector. Kama serikali ikifanya hivi je itakuwa na uwezo wa kuiwajibisha private sector ?
Acheni ujanja ujanja nyie madokta pori lipeni hela za watuPole sana mkuu, ni mbegu za zao gani?.
Kama ni zao la alizeti hizo ndio zimesambazwa kwenye idara tofauti za kilimo kwa ajili ya kuwauzia wakulima ambapo kilo mbili ni 7000. Rai yangu ni mue na subira pesa yenu ipo.