Hapo kuna walakin! kwa nn tuambiwe "MKONO KASEMA"na tusimsikie kwa mdomo wake mwenyewe? halafu mbona n upande m1 ndo umetolewa ufafanuz? atufafanulie na milion 300 za MBOWE!
KHAAA...! A U OUT OV MIND? Nyie ndo mnaifanya nch hii ipate shida kwa uelewa wenu wa dv.5! ww ndo mwamuz,hlf unaonesha hisia za kukata tamaa? yayayaya,........
Kujitambua nako ni uzalendo kumbe!? ww unaelimu hata robo ya hawa ulowataja? chama chako ndo kimejaa MA-MBWIGA kaz kuuza madawa na kuua tembo 2 bas! kimejaa mizigo mpaka kimeelemewa,COZ,DV 5 education! tunasubir Lowwasa tumwone anavowasambaratisha,najua hakuna ndan ya chama cha wala unga awezae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.