Recent content by TEMAKA

  1. T

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Random questions yanakuwaga mkuu
  2. T

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwenye hili swali kwanza utaanza kama My is .......... , am a 20... graduate holding a Bachelor degree from university of .............. ukimaliza hapo kama una experience ya kazi utasema au kama huna basi utasema uzoefu ulioupata field. Utakuwa umemaliza usiongee vitu vingi.
  3. T

    Maswali ya usahili Tume ya Madini

    Ndo maswal yanayotoka written?
  4. T

    Maswali ya usahili Tume ya Madini

    Mining policy?
  5. T

    Maswali ya usahili Tume ya Madini

    Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mwenye maswali ya usahili Uhandisi wa Uchimbaji Madini (Mining Engineering II) naomba anisaodie. Natanguliza shukrani.
  6. T

    Mining engineer natafuta nafasi ya kazi

    Ndiyo mkuu ila hicho ni kama kiashiria tu, itahitajika utafiti zaidi kujua madini yalimo
  7. T

    Mining engineer natafuta nafasi ya kazi

    Sawa mkuu, shukrani
  8. T

    Mining engineer natafuta nafasi ya kazi

    Kiongozi nafatilia sana hasa linkedin, naomba sana nafasi ila sijawahi pata feedback yoyote nzuri.
  9. T

    Mining engineer natafuta nafasi ya kazi

    Habari wakuu, Nina digrii ya uhandisi wa uchimbaji madini (BSc Mining Engineering). Nina uzoefu katika; -kufuatilia utendaji wa mitambo -kuhakikisha usalama kazini -Nina uelewa mzuri wa matumizi ya programu kama Surpac, Datamine, na AutoCAD -Stadi za uchambuzi na uandaaji wa taarifa za kila...
  10. T

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Ila wengi wameambiwa wasubr dom na mbaga zao
  11. T

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kaka wengine hadi mbaga za mawazir,, issue naskia hawaitaji wa mujibu wa sheria kwahiyo form6,, chuo hawahitajiki
  12. T

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Huyu mmoja wa aliyerudishwa
  13. T

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Upo sahihi kaka,, sema wengi wameambiwa na Mbaga zao waendelee kusubr dom
  14. T

    Ajira Portal wananiambia sina vigezo vya ku apply wakati kila kitu nimefanya nimekamilisha

    Education ulifikishaje 100%,, kwenye professional uliweka nini?
  15. T

    Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

    Kwa ambaye ajafanikiwa anicheki pm. Ntamfanyia for free
Back
Top Bottom