Kwenye hili swali kwanza utaanza kama My is .......... , am a 20... graduate holding a Bachelor degree from university of .............. ukimaliza hapo kama una experience ya kazi utasema au kama huna basi utasema uzoefu ulioupata field. Utakuwa umemaliza usiongee vitu vingi.
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mwenye maswali ya usahili Uhandisi wa Uchimbaji Madini (Mining Engineering II) naomba anisaodie.
Natanguliza shukrani.
Habari wakuu, Nina digrii ya uhandisi wa uchimbaji madini (BSc Mining Engineering).
Nina uzoefu katika;
-kufuatilia utendaji wa mitambo
-kuhakikisha usalama kazini
-Nina uelewa mzuri wa matumizi ya programu kama Surpac, Datamine, na AutoCAD
-Stadi za uchambuzi na uandaaji wa taarifa za kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.