Jamani anayetaka kuja mtwara mjini na yeye yupo dsm au mwanza wilaya za ilemela, nyamagana au sengerema mjini. Idara ya sekondari tuwasiliane 0714588035/0752247478
Meatu ni kukame kidogo, kilimo ni cha pamba na kuna vijiji kama mwandoya, nyampuru nk na wilaya mpya kutoka mkoa mpya wa simiyu ila meatu mjini pazuri kwa huduma za kijamii
Huyu kagame mwacheni apige kelele tu sawa na kumtumbukiza samaki kwenye maji yake akiwa hai......cha msingi watanzania tulinde nchi yetu. Na nyie usalama wa taifa fanyeni kazi yenu pamoja na watu wa uhamiaji na muuche kufuata watu wanao tetea maslahi ya uma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.