Recent content by Teknolojia ni Yetu sote

  1. Teknolojia ni Yetu sote

    Sasa itakuwa ngumu mtu kufanya activation ya Windows offline

    Kama ulikua unapenda kufanya activation ya Windows Kwa njia ya Offline 🫵, sasa itakua haiwezekani tena. Lazima kila mtu awe na akaunti ya Microsoft (Microsoft account now is mandatory), Ambapo Kampuni ya Microsoft imeua mfumo wa watu kutumia njia ya local (bila kuwa na akaunti ya...
  2. Teknolojia ni Yetu sote

    Achana na Blackberry kuna hii simu mpya ni balaa 2026

    Tunaweza sema Blackberry imerudi tena Kwa mwaka 2026 🫣 lakini Kwa namna nyingine unajua kwanini?? Kampuni kubwa ya kutengeneza simu zenye muundo wa batani Kwa ajili ya smartphone kama ilivyo Blackberry inaitwa Click Technology imezindua simu mpya inaitwa Communicator 👀. 🔺 Simu hii inatumia...
  3. Teknolojia ni Yetu sote

    Mambo ya kushangaza kuhusu anga yatakayo tokea Tanzania mwaka 2026

    Mwaka huu 2026 kutatokea matukio mbalimbali ya kushangaza kuhusu Anga Yenye kuvutia Machoni na kushangaza. Utaweza kukutana na mambo mbalimbali kama vile Mwezi kubadili kuwa mwekundu, kutokea Giza la ajabu ulimwenguni, nyota zote kupotea matukio haya yataweza kujitokeza mwaka huu 2026. 🔺 Machi...
  4. Teknolojia ni Yetu sote

    Watumiaji wa Google wataweza kubadili email zao za @gmail.com kwa urahisi

    Google Iko kwenye mpango mzuri wa kuweza kuruhusu watumiaji wa akaunti za Gmail (Google Account) kubadilisha username za email zao Kwa urahisi. Mfumo huo utaanza kufanya kazi kuanzia mwaka 2026 japo Kwa sasa umeanza nchini India ambapo wataweza kurekebisha email zao kwa urahisi tuchukulie barua...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

    Fsnya HIVI kuweza kufanya activation ya window 10 pro kupitia CMD 1. Kwanza Fungua sehemu ya ku Search andika CMD kisha run as Administrator hakikisha huko kwenye intaneti. 2. Kisha andika hivi Anza Kwa kuandika hivi slmgr /ipk W269N-WFGWX-YVC9B-4J6C9-T83GX kisha piga Enter ikimaliza piga...
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

    Lazima tujue kwanza unatumia Windows gani ? Window 10, 11, Windows 8 au window 7
  7. Teknolojia ni Yetu sote

    Apps 5 Bora Kwa Mwezi Desemba mwaka 2025. Umewahi kuzijaribu?

    Ndiyo ziko app ambazo zina uwezo wa kufanya detection ya metals kupitia simu yako ambapo kupitia mfumo uliyopo kwenye simu yako inaunganisha na sensor zilizopo kwenye app kuweza kutambua metals zilizokuwepo around Tafuta app kama vile metal detector, EMF detector au metal detector: metal...
  8. Teknolojia ni Yetu sote

    Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

    Njia za kufanya activation za window ni rahisi achana na masuala ya kulipia 😀 au kumlipa mtu labda akuuzie original licence Pekee lakini nyingi unaweza kufanya activation mwenyewe. Kuna njia mbili kuu za kufanya activation 1. CMD command prompt 2. KMS AUTO activation 1. CMD Hii ni njia...
  9. Teknolojia ni Yetu sote

    Apps 5 Bora Kwa Mwezi Desemba mwaka 2025. Umewahi kuzijaribu?

    Unaweza kufanya activation ya window Kwa namna nyingi tu japo nzuri ni mbili uwa mara nyingi watu wanapenda kuzitumia 1. Kupitia CMD command prompt 2. Kupitia KMS auto activities 1. Kupitia CMD ndo rahisi zaidi japo njia hii inakupasa hutumia uwe na Bando kidogo hata mb 100 tu zinatosha 🫵...
  10. Teknolojia ni Yetu sote

    Apps 5 Bora Kwa Mwezi Desemba mwaka 2025. Umewahi kuzijaribu?

    Intermediate 😀😀😀 sio haya muendelezo tayari
  11. Teknolojia ni Yetu sote

    Apps 5 Bora Kwa Mwezi Desemba mwaka 2025. Umewahi kuzijaribu?

    Leo nimekuletea apps 5 Bora za kutumia Kwa Mwezi huu Desemba mwaka 2025, ambapo zitakusaidia kwenye shughuli mbalimbali kupitia simu yako. 1️⃣Oss scan documents Achana na zile scanner qmbazo unazozijua sijui CamScanner au WPS tumia hii app ni nzuri huna aja ya kulipia kwani ni open source...
  12. Teknolojia ni Yetu sote

    Audio player nzuri kwa simu za Android

    Oto Music ndo best Kabisa kwa mwaka 2026 , ni offline hamna matangazo, unaweza tumia bila limit , unaweza tengeneza playlist ya network utaweza ku access Mahali popote hata kama simu hauna nk.
  13. Teknolojia ni Yetu sote

    Walikosea majaribio wakatengeneza watu wasiokufa kabisa

    Umeshawahi kutizama hii movie aiseeh Movie hii imechezwa eneo moja linaitwa Seoul liko Korea kusini, humu ndani kuna mtaalamu mzee aa kupiga watu mabanzi ya nguvu 😀😀 anaitwa Man Dong Seok. Movie hii ni historia ya kweli Kabisa iliyotoka Karne ya Kumi na nane miaka ya 1958 ambapo kuna jamaa...
  14. Teknolojia ni Yetu sote

    Walichoshindwa Apple kutoka kwenye simu za Android

    Ku close apps zote ulizofungua kwenye apps ni lazima mtumiaji haweze kurestart kifaa chake au aingie setting haweze Ku close app moja moja sio kama ilivyo android 🙂
Back
Top Bottom