Recent content by Teknolojia ni Yetu sote

  1. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗛𝗮𝗿𝗿𝘆 𝗣𝗼𝘁𝘁𝗲𝗿 𝘀𝗮𝘀𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗽𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝗣𝗶𝘅𝗲𝗹

    Google yenyewe inasema “no wand required” — yaani huhitaji fimbo ya kichawi; kutumia huu mfumo 😎. Google imeleta Harry Potter Audiobook Packs kwenye Pixel, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea ujio wa matoleo mapya ya Harry Potter: The Full-Cast Audio Editions kwenye Audible. 🎧📚 Sasa unaweza...
  2. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗡𝗼𝗸𝗶𝗮 𝗶𝗺𝗲𝗹𝗲𝘁𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘂𝘄𝗲𝘇𝗼 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗰𝗵𝗮𝗷𝗶 𝘀𝗺𝗮𝗿𝘁𝗽𝗵𝗼𝗻𝗲 𝘆𝗮𝗸𝗼🔋📱

    Hivi Umeshawahi kuona simu ya batani ambayo Ina uwezo wa kuchaji smartphone yako? 😱 Najua bado hujawahi kukutana nayo nakuambia tu Nokia ya zamani imerudi na idea ya kipekee imeleta simu Ya kushangaza yenye uwezo wa kuchaji simu yako 👋. Inaitwa Nokia 300 Charge imekuja na betri ya 3,700mAh...
  3. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Leo ni siku ya Programmer's Tanzania

    Leo ni siku ya watu wanaogeuza mistari ya code kuwa teknolojia inayotumika kila siku. ❤️‍🔥 Kutoka kwenye Apps 📱, Websites 🌐, Games 🎮 hadi AI 🤖 nyuma ya kila teknolojia nyingi tunazozitumia kuna programmer aliyekaa chini na kuandika code. Na cha kushangaza? 😮 256 si namba tu… ni siku...
  4. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Leo ni siku ya Programmer's Tanzania

    Leo ni siku ya watu wanaogeuza mistari ya code kuwa teknolojia inayotumika kila siku. ❤️‍🔥 Kutoka kwenye Apps 📱, Websites 🌐, Games 🎮 hadi AI 🤖 nyuma ya kila teknolojia nyingi tunazozitumia kuna programmer aliyekaa chini na kuandika code. Na cha kushangaza? 😮 256 si namba tu… ni siku...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Itel a200 simu ya bei nyepesi yenye uwezo wa Samsung

    Ikiwa Unatafuta simu yenye screen kubwa, Uwezo wa Ajabu, Skrini yenye 120Hz refresh rate, battery ya 5,000mAh na body yenye uimara wa IP65? 👀🔥 Basi itel A200 imekuja ikiwa na Unisoc T7250, USB-C yenye 15W charging, Android 15 Go Edition na 4G LTE — ikilenga kutoa experience nzuri bila kuvunja...
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    Bado ujaongea facts umeleta hisia 😁, Yani toa sababu Kwanini hamna simu hapo usiletee ethics za brand nyingine
  7. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    Acha kabisa hii Raddy 😀 bro kwaiyo Ebu tuipe heshima yake
  8. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    😀😀😀 Kwanini Usiwe wewe wa kwanza
  9. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    😄😄 Huku tuko kwenye masuala ya Teknolojia achana na hayo siasa huku Hamna kabisa tuonge ki tech
  10. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    😃😀😀😀Walimwengu kwenye ubora wao Kwanini hamna simu tupe facts usiletee hisia
  11. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    🤔🤔Kinaitwaje mkuu tukifuatilie tujue
  12. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    Tembelea page hii https://www.instagram.com/bongotech255?stkn=MTF0ajY3aW1pMmllcA== Utaweza kupata taarifa zaidi ✍️
  13. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    Kwanini umesema hivyo 👀👀
  14. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    🇹🇿🇹🇿Hakika Tanzania tumepiga hatua kubwa sana
  15. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Smartphone ambazo zinatengenezwa Tanzania

    Endelea kutufuatilia tutakuja kuyajuza mengi zaidi boss ✍️
Back
Top Bottom