Hujateka lkn unajua siku mateka atapatikana!Hivi kinana amerudi kutoka alipoagizwa kwenye matibabu kwa siku 14?!Duh,wamuache tu hata kama ana sifuri na feki feki
Wala rais haihitaji kumpongeza kwa hilo maana yeye huyo huyo ndiye ameset mdundo wa kukurupuka au sagula sagula staili na hata wimbo wenyewe hauna kashfa kwa yeyote asiyefanya.Lakini kuna kiumbe humu eti kwa viwango vyake vya kolomije anaona rais ana IQ kubwa,tutatoboa kweli?!!!
Makonda amekuwa anatumia ishu ya madawa ya kulevya kujipatia mali na kuwatishia wananchi Duh,halafu baba ubaya anamlinda!Baba ubaya utaondoka na jambazi lako Isee time will take its channel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.