Recent content by TEBOGO

  1. T

    Uozo wa Idara ya Ardhi Halmashauri mji wa Ifakara

    Waziri Lukuvi tunaomba ufike halmashauri ya ardhi Ifakara idara ya ardhi uone uozo uliopo pale. Unaomba kupatiwa hadi na unazungushwa pasipo kupewa maelezo ya kutosha. Maombi ya hati yabidi yaandaliwe Ifakara then yatumwe Morogoro kwa ajili ya kuandaliwa hati lakini matokeo yake wanakuzungusha...
  2. T

    Continuing students

    Jaman mwenye taarifa kuhusiana na continuing student walioomba tena mkopo,vp ndo wametupotezea au?mana kimya kimezid
  3. T

    Loans appelant

    Wadau naomba niulize kuhusu wale waliokosa mkopo then wakaappeal mbona kimya?je kuna tetesi zozote kuhusiana na kupata mkopo kwa watu hao?
  4. T

    Kuhusu posho ya kusimamia mtihani kidato cha nne 2012 wapendwa,wilaya kilombero kuna ufisadi!!!!!!!!

    kaka ndio walivyo hao mi mwenyewe walitaka kunifanyia hivyo mwaka jana.mpankuly na msuya ndo mambo yao
  5. T

    Ndugu wasomi mbona submision ya form kuappeal bodi ya mikop inakataa?l

    Mi mwenyewe inanizingu cjui hata nifanye nn?2we wapole 2
  6. T

    Bodi vipi jamani?

    Jamani bodi ndo imeamua kutuchunia sisi tuliokosa loan mana kulikuwa na tetesi kuwa ifikapo tar 1 mwez wa kumi wangetoa nafasi kwa wale waliokosa loan kwa priority facult kuomba tena lakin bado ni kimya.pia ni lin watatoa Batch nyingine ya loan naomba mnifafanulie wana JF mana chuo ndo...
Back
Top Bottom