Recent content by Team Gangari

  1. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reform no election
  2. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awastukia Chawa, aanza kufuata ushauri wa Askofu Bagonza

    Mama Leo ameupiga mwingi kweli kweli, machawa nadhani hawakutarajia hivyo mama ameamua kuwapoza kwa kutambua uwepo wao😅 Lakini Kama nchi/taifa, ni mwanzo mzuri hasa kwa mwaka huu mpya 2023.
  3. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumekosea wapi? Nilidhani masihara kuwa gharama za vifurushi zimeendelea kupanda

    Mkuu umewezaje? Tupe maujanja...
  4. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

    Mkuu ajira za serikali ni Kama mchezo wa potea pata, Ingekuwa ni kitu Cha siku moja unavyodai hapo ungeeleweka, lakini kwa jinsi Hali ya ajira ilivyo, mtu unaweza kushiriki usaili zaidi ya kumi kwa mwaka mmoja na bado usitoboe kabisa, unajua maana yake? Hizo modules unazosema hazifanani na hizi...
  5. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

    Mdau ana hoja ya Msingi na anapswa kusikilizwa na wahusika wa upangaji wa ratiba za usaili. Iweje katika ngazi zote za elimu(Msingi/secondary/chuo n.k) hili suala la jumamosi (siku ya ibada kwa wasabato) linazingatiwa lakini linapokuja suala la uasili za kazi serikalini isizingatiwe...
  6. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    😀😀😀🙌🙌🙌
  7. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    😀😀😀😀Mkuu andaa hiyo 500k, naamini atapatikana tu.
  8. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Natafuta mwalimu wa kubadilishana naye aje Halmashauri ya wilaya ya Tarime Mimi Nije Dar es salaam special education.
  9. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania Serikali: Mgomo wa madereva uliotangazwa kuanza 25/04/2022 ni batili. Waandaaji kukamatwa na Polisi

    Wakati PM akisisitiza wafanyabiashara wasipandishe Bei wao wanataka kuongeza nauli, Duh 🙄 🙄
  10. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa wamiliki wa usafirishaji Dar, wananchi wanaichukia Serikali yao

    Kwa jinsi mfumuko wa bei ilivyo, LATRA wakiruhusu ongezeko la nauli hali itakuwa mbaya Sana kwa mwananchi wa kawaida.
  11. Team Gangari

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ndani ya Chicago, atembelea kiwanda cha Viuatilifu

    Mama anaupiga mwingi 😀😀😀
Back
Top Bottom