Recent content by Teacher Emma

  1. T

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Wale wa UDSM ingia kwenye profile yako...kisha jionee mwenyewe. Kama umefanikiwa kupata nafasi usisahau kubonyeza button ya kuconfirm
  2. T

    Third Round Application TCU msaada

    Habari zenu wakuu, TCU wameruhusu maombi ya mara ya tatu ikiwa bado baadhi ya vyuo mfano Mzumbe Mbeya, NIT hawajatoa majina ya second round. Je, kwa walio na taarifa profile ya mtu anayetakiwa kuomba third round ina taarifa gani?
  3. T

    Kama umejaza course 4 second round application

    Habari wadau wa Jf Kama ulifanya second round application ya TCU siku za nyuma ulikuwa ukijaza course 4 ilikuwa huwez tena kuongeza ya 5 lakini cha ajabu jana nilipoclick "make second round application" ilikubali kuongeza course ya tano na kufanya machaguo kufikia 5. Kwa wale wenzangu na mie...
  4. T

    Msaada jinsi ya kufanya second round application

    Sijakuelewa mkuu, umekanusha kwamba ni vyuo vitano au unajaza kimoja tu?
  5. T

    Msaada jinsi ya kufanya second round application

    Habari zenu wadau!? Katika tangazo lililotolewa na TCU juu ya hatua za kufanya second round application wameonesha unaweza kujaza hadi vyuo vitano kwa wale waliokosa first round application lakini ukifanya inakuja option ya kujaza tu chuo kimoja. Na ukibofya sehemu ya kuangalia rejected reasons...
  6. T

    Je atachaguliwa TCU Second Round?

    Mbona mm naona sehemu ya kujaza chuo kimoja tu, umefanyeje ili kujaza vyote hiyvo? Msaada tafadhali
  7. T

    Msaada: NACTE application

    Diploma kwenda Bachelor degree
  8. T

    Msaada: NACTE application

    Nilipokuwa napitia Guide book ya Diploma Holder kuna sehemu palikuwa pananihitaji ku-apload Certificate na Transcript ila wakati nafanya application baada ya kujaza chuo nilichosomea diploma, Jina la program niliyosoma, mwaka niliohitimu na Registration number...moja kwa moja nilipelekwa katika...
  9. T

    Masters nibadili fani au niendelee na hii?

    Sio nia yangu kukipigisha story ila kabla ya kuomba ushauri nilijaribu kupitia prospectus za baadhi ya vyuo nikakuta kuna baadhi ya watu walianzia cheti hadi kuwa prof..nikahisi kumbe muda si kitu ili mradi uwe na dhamira ya dhati ya kusoma. Binafsi najua kabisa nimeishapoteza miaka 3 darasani...
  10. T

    Masters nibadili fani au niendelee na hii?

    Hii point haswaa..ahsante mkuu! Kwa hiyo bora nikachukie masters degree? Je, hiyo GPA yangu itailinda masters yangu ili isije kuishia kukaa ndani tu?
  11. T

    Masters nibadili fani au niendelee na hii?

    Bado ushauri wako sijauelewa mpendwa.
  12. T

    Masters nibadili fani au niendelee na hii?

    Habar zenu wana JF? Nikiwa na uhakika bila shaka, ni matumaini yangu kuwa nitapata msaada ili iwe rahisi kutatua huu mkwamo wa kifikra. Mimi ni mhitimu wa BSc. Education (chemistry/biology) nikiwa na G.P.A ya 3.9 kuna wakati nawaza je, nijiendeleze katika ngazi ya masters degree au nianze...
  13. T

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Musoma Mjini umeme pia haupo...TANESCO NI CCM....
  14. T

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    Mimi pia nina siku ya pili sasa sioni list ya vyuo nilivyochagua....mwenye uelewa na hili nijuze tafadhali
  15. T

    Magufuli na mradi wa laptop kwa kila mwalimu,hivi tatizo ni ukosefu wa laptops?

    wewe unaemkubali Magufuli una kichaa na mvivu kiakili
Back
Top Bottom