Nitajiweka code ili nisije nikasababisha mhusika kujulikana.
Wiki iliopita nilisafiri kikazi mpaka mkoa jirani na hapa nilipo na nna miaka mingi sijafika huko. Muda huo nilikuwa na zoom meeting ikabidi nitafute lodge nipate utulivu wa kuchangia maoni yangu kama mshiriki.
Nikapata lodge moja...
Kosa lake huyo dada ni kutokukueleza mapema ili ujue kama utaendelea nae au usiendelee nae. habari za baba alikwambia sijui hiki au kile sio za kutuletea huku ungemaliza mwenyewe. Sasa kilichopo mkuu we jipe muda wa kufanya maamuzi pitia comment za watu jiridhishe kwanza ndio uamue rasmi.
Umeshindwa kuandika doubt leo 2022 halafu unashangaa mtu kuwa na simu na email miaka ya 2000 mpaka 2009? Ngoja nikusaidie nimefungua email mwaka 2005 kabla hata sijaingia form 1, mwaka 1999 mzee wangu alikuwa na simu na line ilikuwa ya mtandao unaitwa Tritel. Siku nyingine epuka aibu kama hizi.
Mwaka 2000 tulitembelewa na family friend akiwa na watoto wanne, wawili wa kwake na wawili wa dada zake. Wakati wazee wanapata bia sisi watoto tukawa tunacheza room kwetu. Home tulikuwa wavulana tu na yule mama mgeni alikuja na mabinti tu.
Tuligawana kila mtu na wa kwake mi nikampata first...
Hercule Poirot story zake zimeandikwa miaka ya 1920 kwa hio Agatha Christie hahusiki kuandika hizi movie mbili, Murder on Orient Express na Death on the Nile. Mchango wake ni katika kutengeneza character ya Hercule Poirot ambaye ni mpelelezi.
Yaani uoe mwanamke kutoka jf ana mtoto halafu arudiane mzazi mwenzake wawe wanagongana wao ila wewe ulee mtoto wao? Hizo akili za wapi? Siwezi kudhalilisha elimu na mizimu yangu kwa wakati mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.