Kama mpo kwenye vikundi, maofisi, vikoba, mashirika makubwa huduma hii inawafaa kwa maana ni huduma inayoitwa CUG ni maalumu kwa watu waliokuwa katika magroup inayowawezesha kuongea bure nyie mliopo kwenye group mwezi mzima, masharti ni kuweka vocha ya sh 6000 tu itakayokuwezesha kuongea bure...