Uliona wapi kwenye biblia ya kwamba mtu alienda Shule akamaliza ndio akaanza huduma Yeremia alisoma shahada ipi?
Vitu vingine mtumie akili hata kama hamna mungu hafwati taratibu za wanadamu
Wewe ndio mjinga kuliko wajinga wote waliowahi kutokea. Ndio maana ni ngumu sana Watu kama wewe kufika mbali. Uko radhi umpinge mtanzania mwenzako na kutukana huduma yake lakini usifie huduma za watu wa magharibi kwa sababu ambazo hazileti hata maana uanze cha kwako leo utake kupewa support??
Kila kitu kina fanya kazi kwenye dimension yake. Mafuta hayawezi kuchanganywa na maji, ukiweka mafuta kwenye moto yanachemka lakini maji yanapotelea hewani.
Muda mwingine uwe unatumia akili hata kama unazo ndogo. Kwani gwajima kuota tatizo liko wapi kwani Kuna aliekatazwa kuwa na ndoto na akazisema hadharini??
Kwani si ndio nyie wapinzani mliokuwa mmnamshabika akiwa anakemea maovu ya serikali??
Kiufupi hamna jipya mmeishiwa ndio maana mnahangaika...
Haya ni mawazo mgando kudhani mchungaji kuingia kwenye siasa ni kutafuta ulaji. Tunahitaji watu potential kwenye siasa za nchi bila kujali dini zao, makabila yao etc
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Ila wabongo bhana... kwahiyo mnaona inawezekana mtu kua mchungaji na mfanyabiashara ila haiwezakani kua mchungaji na mwanasiasa. Binafsi mm sio mfuasi wa gwaji lakini yule jamaa ni asset sana akienda bungeni, acheni siasa uchwara. Human beings and dynamic and being dynamic to things of positive...
Wewe umesikia wapi; ukitumia akili yako japo hata kidogo utaelewa kwamba Gwajima anamtaji mkubwa sana wa watu kuliko Mdee
Sent from my HTC Desire 12 using JamiiForums mobile app
Ila tuseme tuu ule ukweli,Gwajima haongeagi bila kufanya research, na anayosemaga mengi sana yanakuaga kweli, sasa mambo ya 5G mbona biligeti kapingwa hadi na wamarekani kwakutaka kutuletea chanjo yenye radio wavesWhy BBC mnamwandama gwajima tuu?Au mmekula maaharage ya Chadema[emoji1787]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.