Recent content by Tayson 7

  1. T

    Dah! Nini maana yake?

    Kuna madem wanagundu kichiz nilikuwa na goma moja hiv kila nikipiga nikienda kazini gar inasumbua kichiz nikaja kuliwangia nilivyo acha tu mambo yakawa fresh
  2. T

    Msaada wenu unahitajika haraka sana

    Hahahahaaaa umechekesha sana mkuu, mbinu hapo nikumtumia tu mzee
  3. T

    Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

    Mkuu hii ishu usiangalie upande wako anagali watoto mi imeshanikuta kama yako wife nilikuwa na muamini kupita maelezo lkn alichonifanyia ni majanga matupi nilitaka nichukue huamuz mgumu kabisa wa kumpoteza ni mungu tu aliingilia kat na watoto walichangia nikasema huu uwamuz ndakao fanya wanangu...
  4. T

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Au wife wakati mjamzito ulikuwa unapiga nyeto mkuu
  5. T

    Ukiwa huna kitu hakuna mtu atayejishughulisha na wewe ila ukipata tegemea yafuatayo

    Kama huna helaKuna Muda Unaona Baadhi Ya Ndugu Zako Msaada Wao Mkubwa Kwako Uliobaki Ni Kukuzika Tu Lakini Siku Zinavyozidi Kwenda Unaona Hata Ule Msaada Wao Wa Kukuzika Unaweza Usiupate.
  6. T

    Kipindi ambacho unajihisi kubaki peke yako, hakuna anayefikiria kuhusu wewe

    Kama mm mkuu yan napitia kipindi kigumu sana hata baadhi ya ndugu zangu nilio wawezesha hata kukopoea cm yngu shida, nikiwaangalia wanangu na wife chozi linanitoka lenyelewe dah yn haya maisha yana changamoto nyingi sana Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom