Wadau mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nina girlfriend wang anaitwa janet ambaye ni nesi nampenda sana ila kuna dereva wa bac anatembea nae na kumpa kila kitu, chakula malazi na mavaz, ila kila nkimuuliza anasema cyo kwel yeye ananipenda mimi tena kwa dhat kabisa, wakat jion bac...
Siamini macho yangu, kama kwel heshima, utu, aman na upendo kama vinaweza kuwa kutu tena isiyoweza futika moyoni mwangu. Rafiki yangu kala mzigo kwa demu wangu ambae ni shemeji yake na yeye akiwa na mke na watoto wawili, kweli huu ni utu wadau?
Habar wadau wote hum, mim ni kijana mwenye miaka 27 nataka mwenza mwenye umri wowote wa kike ili tuweze kula raha, ila lazma tupime kwanza niko mafinga iringa, cm 0765180309
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.