Nilikuwa nafanya kazi super market flani hivi nikiwa kijana, alikuwa anakuja binti flani ana alama flani nyeusi chini ya jicho halafu ama macho mazuri Sana.Nilimpenda sana nahisi alijua maana alikuwa akifika kununua mikate nilikuwa namuangalia mda wote hadi anaondoka
Uchungu ninao ila nachojivunia ni skills za kuhandle uchungu...
Nipo na knowledge kubwa sana kudondoshwa na break up..
Yaani uwezo wangu wakuishi na hisia zangu,kuijua process ya stress inavyoenda...
Mtu hawezi kusema ukae na mwanamke uchumba miaKa 6 ndoa miaka 4 halafu kaachana nae bila...
Mimi niliamini sana katika Ndoa katika kushirikiana katika umoja...
Pamoja na madhaifu yangu ila siku zote nilikuwa na huruma na mke wangu..
Nimeoa aina ya mwanamke ambaye ukimkabidhi mwanaume yeyote mwenye akili timamu hawezi kudumu nae hata mwaka 1 ila vyote nilipuuzA japo hasira za hapa na...
Mi nawajua,watu wawili ambao wapo vzr kwenye ulimwengu wa roho..
Aisee hao wana uwezo na nguvu ya Mungu ndani yao..
Kifupi mambo yanawezekana hasa haya ya kujua taarifa za mtu za nyuma,kati na mbele,kafungwa wapi afanye nini atoke.Kifupi kuna watu wana hizi nguvu
Tukija kwenye vitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.