Recent content by Tatamobitch

  1. Tatamobitch

    Usitumie hela nyingi kwenye mwonekano wa duka badala ya bidhaa.. weka stock ya kutosha.

    Kwa Tanzania hasa kwenye miji mikubwa hili limekuwa tatizo kubwa. Wafanyabiashara wadogo tena wanaoanza biashara utakuta wanatumia hela nyingi za mtaji kuwekeza kwenye mwonekano wa duka badala ya bidhaa anazouza. Vijana wengi hasa kwenye biashara ya nguo wamejikuta wanafunga biashara zao chini...
  2. Tatamobitch

    Wamasai wa Ngorongoro wanaopelekwa Handeni hawataweza ku-survive pale

    Pumba tupu umeandika. Wamasai wa Ngorongoro wamedekezwa mno. Na hao wanaharakati wanaowatetea ni kwamba wanaumia harakati zao kufikia tamati kwasababu walikuwa wanaingiza pesa nyingi toka kwa mabeberu kwa kujifanya watetezi wa masai. Kinachonikera ni masai kutaka wawe na maamuzi pale NCAA. Yaani...
Back
Top Bottom