Recent content by TataMma

  1. TataMma

    Rais Magufuli afanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Juliana Shonza aula, Maghembe out..

    Kairuki mama wa vyeti feki na ajira mpya sasa akagombane na makinikia huko Hongera bashe ila ndo ushanyamazishwa hivyo manake ulishaanza kumchachafya Sizonje
  2. TataMma

    Pedi za kufua

    Mkuu acha kuwaibia wadada hiyo bei,huku kanda ya ziwa tunaziuza elfu 5-8 ila bado kuna changamoto wadada wanaona kinyaa kufua damu zao elimu inahitajika kuwaelimisha,binafsi nlifanya hii biashara ila now vyuma vimekaza
  3. TataMma

    Wakuu Mnifafanulie maana ya hii picha

  4. TataMma

    Nahitaji line ya M-Pesa

    Mkuu uko wapi tufanye biashara fasta
  5. TataMma

    Agenda ya Katiba mpya haipaswi kubebwa na mikono michafu ni najisi?

    Watu acheni kuQuote Uzi mrefu wa kipuuzi kama huu,mi hata sijasoma
  6. TataMma

    Rais Tunaomba Safari za Ndani utumie Helcopter

    Sasa mbona ikulu inatutangazia rais kasimamishwa na wananchi wa sehemu flani wanashindwa nini kusema rais kasimama sehemu flani na si kasimamishwa
  7. TataMma

    Rais Tunaomba Safari za Ndani utumie Helcopter

    Anavyopenda sifa ya kuonekana onekana na kusema yeye ni rais wa wanyonge sasa akitumia helicopter atajigamba kwa nani huko angani manake hata kunguru washamchoka
  8. TataMma

    Mfahamu mdudu kunguni (bedbugs) na jinsi ya kumuangamiza

    Mkuu hao wadudu ni balaa cha kukushauri tu choma moto hicho kitanda ,toa vitu vyote chumbani pigeni usafi wa nguvu na kipulizia dawa
Back
Top Bottom