Usajili wa laini yake,ushajulikana, popote aendapo atakamatwa heri ajisalimishe anaweza eleza ukweli wote kwenye hukumu akafikiriwa,akikimbia ataonekana ye ndo mwizi,atalipa vyote na kifungo juu
Huyo kurekebisha jina inawezekana kabla ya kufanya mtihani wa darasa la nne kikubwa vizia mfumo wa PREM ukiruhusiwa nenda shule ufanye hayo mabadiliko..Akisajiliwa tu NECTA hapo ndiyo basi tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.