Recent content by Taswira

  1. Taswira

    Spika na baadhi ya mawaziri watekwa na matajiri,Mwigulu acharuka amvaa spika "misamaha ya kodi"

    BREAKING NEWS!! NAIBU WAZIRI (F) MWIGULU NCHEMBA ACHARUKA,AMVAA SPIKA MAMA MAKINDA KUHUSU MISAMAHA YA KODI. ASISITIZA WATANZANIA MASKINI HAWAWEZI KUENDELEA KUBEBA MZIGO WA UCHUMI WAKATI KUNA WATU WANAKWEPA KODI KUPITIA MISAMAHA ISIYO NA TIJA. Katika hali isiyokuwa ya Kawaida na nadra Kutokea...
  2. Taswira

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi tarehe 27 Machi, 2014 - Uwasilishaji wa kanuni za Bunge

    KAmati ya Kanuni imependekeza Kupigwa Kura kwa Mifumo yote miwili ilikumaliza Mgogoro wa Namna ya Upigaji Kura. Wanaotaka kupiga kura ya Wazi watapiga Wanaotaka Kura ya Siri watapiga HAya ndi Maridhiano ili kila mtu awe huru ba uamzi wake. Inasikitisha sana Kulazimisha Watu wakubali maoni...
  3. Taswira

    Mwigulu Nchemba ahutubia bunge la ACPC na EU, apinga ndoa jinsia moja. Bunge lazizima

    Naibu Waziri wa Fedha mhe Mwigulu Nchemba amehutubia kikao cha pamoja cha bunge la ACP na EU katika mji wa Strasbourg nchini Ufaransa. Katika hotuba yake, mhe Mwigulu alianza kwa kukishukuru chombo hicho kwa ajili ya msimamo wake usioyumba kwenye maswala ya amani akitolea mfano wa kazi nzuri...
  4. Taswira

    Warioba,maneno haya ya Nyerere hata ungekesha serikali tatu ni ndoto za ali-nacha

    Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, "Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania" - Ukurasa wa 61.
  5. Taswira

    Rose Kamili akamatwa na Polisi kwa kugawa rushwa Kalenga!

    Kunapicha akiwa na Fuko la Feza naipandisha Muda si Mrefu Ngoja nifike kwenye PC yangu hapa Natumia Simu.Achana na Picha akiwa na Polisi ninayo Nyingine
  6. Taswira

    Rose Kamili akamatwa na Polisi kwa kugawa rushwa Kalenga!

    Hivi sasa ameshafikishwa Polisi,Picha nazipandisha Muda huuu hapa. Ni aibu ya kutupwa CHADEMA Baada ya Kushindwa kwa Kila Mbinu wameamua Kuingiza Fuko la Fedha Kalenga kuhonga Wapiga kura,Kununua Shahada za Kupigia Kura. Mbaya zaidi wameingiza Genge la Wauaji na Wamwagiaji Tindikali kama...
  7. Taswira

    Picha:Mwigulu Nchemba Atikisa Kalenga hii leo,CCM USHINDI ASILIMIA 99.9

    Hii leo Mwigulu Nchemba ametikisa Jimbo la Kalenga Kata ya Magulilwa<chadema Wapoteana Kalenga eti wanaomba Kufanya Kampeni hata siku ya Uchaguzi Kwa Helkopta, Picha zaidi ZinawajiaKatibu Mkuu CCM Taifa (Kulia) Kanali Mstaafu Kinana na Naibu Katibu Mkuu CCM-Bara (Kushoto) Mh.Mwigulu Nchemba...
  8. Taswira

    Mgombea wa CHADEMA jimbo la Chalinze awekewa Pingamizi

    TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUF DHIDI YAMATHAYO MANG’UNDA TORONGEY – MGOMBEA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO -CHADEMA13.03.2014 Mimi FABIAN L. SKAUKI, mgombea ubunge wa uchaguzi mdogo jimbo la...
  9. Taswira

    Kiongozi UVCCM afunga tawi la CHADEMA na kupandisha bendera ya CCM-Lushoto

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga Ndugu Husna Mbwambo Sekiboko amefunga tawi la Chadema katika Kijiji Cha Lukozi na kupandisha Bendera ya Chama Cha Mapinduzi kutangaza Ufalme mpya wa Chama hicho cha siasa...
  10. Taswira

    Pigo CHADEMA Kalenga Mwenyekiti CDM wa Kijiji anachotoka Mgombea wa CDM ahamia CCM na Wenzake 52

    Mwenyekiti wa Chadema katika kijiji cha Wangama jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi ya chama hicho kwa Katibu wa CCM mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga, baada ya kutangaza kuhamia CCM, kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa CCM jimboni humo, leo. Kwa...
  11. Taswira

    Ubunge Kalenga: Godfrey Mgimwa apokewa kwa kishindo kijiji alikozaliwa marehemu Baba yake.

    Mgombea ubunge Jimbo la Kalenga, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Mgimwa (kulia) akiwa na bibi yake, Consolata Semgovano wakipungia mikono wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kijiji alichozaliwa cha Magunga, Iringa Vijijini leo. Nyumbani alikozaliwa...
  12. Taswira

    CHADEMA yazidi kupukutika,CCM yavuna mwenyekiti wa vijana CHADEMA na mwenyekiti wa kata 14 Temeke

    CHADEMA YAZIDI KUPUKUTIKA, MWINGINE TENA AKABIDHI KADI NA KUJIUNGA NA CCM Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kushoto),akipokea kadi toka kwa mwanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Musa Ramadhani , ambaye alikua Mwenyekiti wa kata ya 14 Temeke na Mwenyekiti...
  13. Taswira

    CHADEMA Yaendelea Kuteketea Kalenga,Mwenyekiti Mwingine ahamia CCM ni Baada ya Yule wa Kata ya Nzihi

    MWENYEKITI wa Kitongoji cha Lupembelwasenga, Jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kwa tiketi ya Chadema, Ezekiel Kibiki akikabishi kadi ya chama hicho kwa Mwenyekiti wa CCM Iringa Vijijini Delfina Mtavilalo, baada ya kutangaza kuhamia CCM katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo katika...
  14. Taswira

    Vyeo na ubunge wa upendeleo, CHADEMA kama CCM; Tutemeni mate chini

    Chadema huu ukweli msioweza kuukwepa kwa u-familia kwenye chama,ya riz one na mgimwa ni tusi kwenu WanaCHADEMA wanaoweweseka na Uteuzi Wa Mgimwa -...
  15. Taswira

    Chadema huu ukweli msioweza kuukwepa kwa u-familia kwenye chama,ya riz one na mgimwa ni tusi kwenu

    WanaCHADEMA wanaoweweseka na Uteuzi Wa Mgimwa - Kalenga, na Ridhiwani - Chalinze. Msitoe Kibanzi macho ya wenzenu ya kwenu yangali na Boriti..... Ubunge Wa kupeana umeanzia Kwenu 1. Tundu Lissu, Dada yake Christina Lissu. 2. Philemon Ndesamburo mtoto wake Wa kumzaa Lucy Philemon Ndesamburo...
Back
Top Bottom