Recent content by Taryx Solomon

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mh. Iddi Azan anafanya biashara gani?

    Hii ni aina ya kutaka kuibua chuki ama siasa laini (cheap politics)... Bainisha nini una hofu nae? Maana hujasema anamiliki nini
  2. T

    JamiiForums Tanzania Simcard Tax

    Binafsi nakubaliana na Simcard Tax.... Ifike wakati tuache siasa na tuone fahari kulipa kodi kama ilivyo kwa wenzetu huko marekani mimi naamin watanzania wa kweli wote wanakubaliana na kodi hii ila wachache tu ndio wanaendeleza sumu ya kisiasa
Back
Top Bottom