Binafsi nakubaliana na Simcard Tax.... Ifike wakati tuache siasa na tuone fahari kulipa kodi kama ilivyo kwa wenzetu huko marekani mimi naamin watanzania wa kweli wote wanakubaliana na kodi hii ila wachache tu ndio wanaendeleza sumu ya kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.