Recent content by Targaryen Golden

  1. Targaryen Golden

    Sasa taratibu naanza kuwaona Watanzania wakiwa na Akili

    Na mkataba ukitoka sasa ukawa umeandikwa miaka 25 Kama nchi nyengine utashangaa mtaa wapili wanasema “wamebadilisha baada ya kuwapa pressure “ na watanzania wataamini kua wao pamoja na wapinzani ndo wamesababisha mkataba ukabadilishwa kutoka miaka 100 mpka miaka 25. Siasa bhna 🤣🤣🤣🤣
  2. Targaryen Golden

    SoC03 Ushiriki wa Sekta Binafsi katika usambazaji wa umeme Tanzania

    Umeme ni sehemu muhimu ya maisha ya kisasa, unawezesha kila kitu kuanzia majumbani, biashara, hospitali, shule nk. Hata hivyo, katika nchi nyingi zinazoendelea, upatikanaji wa umeme ambao unategemewa sana bado ni changamoto kubwa. Ndani ya Nchi yetu ya Tanzania kuna shirika moja tu linalohusika...
  3. Targaryen Golden

    SoC02 Nguvu ya Bangi na Hempu kwa Afrika

    Kura yangu umepata naomba na wewe ukipat muda upitie makala yangu unaweza kuchangia kwa maoni, kura n.K Thread 'Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili kujikinga na vifo vya ghafla vya watoto' SoC 2022 - Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili...
  4. Targaryen Golden

    SoC02 Nguvu ya Bangi na Hempu kwa Afrika

    Kura yangu umepata naomba na wewe ukipat muda upitie makala yangu unaweza kuchangia kwa maoni, kura n.K Thread 'Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili kujikinga na vifo vya ghafla vya watoto' SoC 2022 - Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili...
  5. Targaryen Golden

    SoC02 Tatizo kubwa la ajali za barabarani zinazosababishwa na pikipiki (boda) kwa jiji la Dar es Salaam

    Kura yangu nimekupatia naomba na wewe ukipata muda upitie makala yangu fupi ya elimu Thread 'Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili kujikinga na vifo vya ghafla vya watoto' SoC 2022 - Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili kujikinga na vifo...
  6. Targaryen Golden

    SoC02 Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)

    Kurq yangu unayo na ni kwasababu naunga mkono mabadiliko yoyote ambayo ni chanya kwenye sekta ya Elimu Naomba ukipata muda upitie pia makala yangu Thread 'Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili kujikinga na vifo vya ghafla vya watoto' SoC 2022 - Elimu ya huduma ya...
  7. Targaryen Golden

    SoC02 Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili kujikinga na vifo vya ghafla vya watoto

    Huduma ya kwanza ni huduma au msaada Unaotolewa kwa mtu anayekabiliwa na ugonjwa au madhara ya ghafla wakati daktari anapokua hayupo karibu na kabla hajapelekwa hospitalini au kituo chochote cha afya kilichopo karibu kwa matibabu zaidi. Vifo vya ghafla vya watoto wachanga au kwa lugha ya...
  8. Targaryen Golden

    SoC02 Elimu ya huduma ya kwanza kwa watoto wachanga itolewe kliniki ili kuepuka vifo vya ghafla vya watoto wachanga

    Huduma ya kwanza inamaanisha huduma au msaada Unaotolewa kwa mtu anayekabiliwa na ugonjwa au madhara ya ghafla wakati daktari anapokua hayupo karibu na kabla hajapelekwa hospitalini au kituo chochote cha afya kilichopo karibu kwa matibabu zaidi. Vifo vya ghafla vya watoto wachanga au kwa lugha...
  9. Targaryen Golden

    SoC02 Maabara za Sayansi ni muhimu katika shule za msingi ili kumjenga mtoto katika masomo ya Sayansi

    Kwani hela inayotoka kutengeneza miundombinu inatoka wap? Hata wananchi wafanye kazi kama punda mchana kutwa serikali itatoa budget kulingana na matakwa yaliyopo, na ukute fikra kama yako ndo inafanya wasieke budget za kutosha kwenye mambo mengi ya muhimu. hiyo ni suggestion inatolewa serikali...
  10. Targaryen Golden

    SoC02 Elimu itolewayo nchini Tanzania haimuandai mhitimu kujiajiri

    Dunia nzima? Lazima?? Mbona umeongea as if ni factual? Hahah masomo uliyoyasoma ww sekondari marekani wanafunzi wameyasoma primary, hayo uliyoyasoma chuo wenzako wameyasoma highschool. Jaribu ku google masomo ya wanafunzi wa marekani afu uje utuambie ni dunia nzima ipi unayoiongelea na usije...
  11. Targaryen Golden

    SoC02 Elimu itolewayo nchini Tanzania haimuandai mhitimu kujiajiri

    Wewe sasa ndo unaongopa kusema elimu ya Tanzania haina tatizo matatizo yapo mengi sana na kwa hela wanazoekea budget watu wengi tunategemea makubwa kuliko wanayofanya, elimu ya Tanzania inahitaji more practice kuliko theories na kama unaona ni swala tu la mtazamo tena kwa sababu kuna vijana...
Back
Top Bottom