Umeongea swala la msingi sana,kwanza hao kuku chotara au wa kienyeji wanaofugwa mjini ukimnunua ukamchinja umle ni wagumu balaa, wanacost itabidi umchemshe au umchome mwa muda mrefu ni wagumu kuiva,sijajua ni kwann ama ndo ile kwasababu wanafugwa kimjini mjini!! wanatumia mkaa mwingi ama gesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.