Recent content by Tanziti

  1. Tanziti

    Nahitaji mtaalam wa programming

    sorry nilikosea kuandika namba nimefanya masahihisho ni 0685451700
  2. Tanziti

    Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

    SOMA KITABU KINAITWA THE POWER OF SUBCONDCIOUS MIND naamin utapata utulivu wa akili.
  3. Tanziti

    Nahitaji mtaalam wa programming

    Nahitaji mtu mtaalamu wa kutengeneza website pamoja na APP awe mbobezi na mwenye uzoefu wa kutosha kama upo tayari wasiliana nami kupitia whatsapp namba 0685451700 Asante.
  4. Tanziti

    Dar: Mwalimu wa aliyetuhumiwa kulawiti mtoto wa miaka 6 azimia baada ya kuhukumiwa jela maisha

    Haya mambo sio ya kushabikia na kulaumu! wengine kesi zakupewa tu kutokana na chuki binafisi ukiwa na amani,huru na furaha na kila mtu mshukuru sana Mungu.
  5. Tanziti

    Natamani ku-adopt watoto kutoka vituo vya watoto wenye mazingira Magumu

    Vizuri na wazo bora sana, Kuna taratibu zimewekwa na mamlaka husika fika vituo husika au kwenye halmashauli husika watakupa utaratibu kamili. Kwauelewa wangu mdogo watakuhoji kwann umeamua hivo na watataka uwahakikishie kumtunza au kuwatunza watoto na mambo mengine mhimu kama uwezo wako wakimaisha.
  6. Tanziti

    SoC02 Changamoto na suluhisho la Watoto wa mtaani

    Wakati sisi tukila kushiba na kulala pazuri kwenye majumba mazuri kuna mtoto wa mika 7 hadi 17 analala nje ya kibalaza bila shuka wala godolo! Mimi binafsi huwa najiuza hawa Watoto wanatokaje majumbani mwao nakuja kulanda landa mtaani kwa akili ya haraka unaweza kuanza kulaumu wazazi ama walezi...
Back
Top Bottom