Unaanza na hapo kwenye 1.Topup account kama unatumia app/deposit kama unatumia web
2.utachagua mtandao unaotumia
3.utaweka kiasi pamoja na namba yako ya simu
Kisha utasubiria message kutoka (beyonic) itakayokupa maelekezo zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.