Tabora region is under RC Aggrey Mwanri Mzee wa SUKUMA NDANI na FYEKELEA MBALI..!
Je, inaqwezekana RC Mwanri na yeye anaanza kuwasukuma na kuwafyekelea mbali WAPINZANI? Naomba mwenye Tube ya RC akiongelea hii issue ya Diwani wa CHADEMA kusukumwa ndani..!!!
ndege JOHN,
Bila shaka wewe utakuwa unaishi Tanzania ya peponi siyo hii tunayoishi Watanzania wote. Pengine huna ufahamu mzuri ya kile kinachoendelea hapa nchini na tangu Rais wako mpendwa ashike mamlaka hajakugusa wala kumgusa yeyote katika familia yako/yenu, rafiki zako. watumishi wenzako au...
Umesema kweli. Siyo kichaa tu lakini pia alishawahi kutamka mbele ya hadhira maneno haya:
''...MIMI NINA FRUSTRATIONS ZANGU.."
''...MIMI SIKUOMBA URAHIS NILISUKUMISWA TU NIKAJIKUTA NI RAHIS..."
''...MIMI SIJARIBIWI..'
''...WABUNGE WA CCM MNGELI ANDAMANA NINGEPIGA MPAKA SHANGAZI ZENU...''...
Tuko kwenye Utawala wa awamu ya 5 chini ya Rais Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli-Bulldozer(2015-2020).Kwa hakika imekuwa ni awamu ya ajabu sana ukilinganisha na awamu zilizopita tokea kwa marhemu Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere(1), Alhaj Ally Hasani Mwinyi(2), Benjamin Mkapa(3) na JK...
Guys,
Tatizo siyo hawa Vijana baali tatizo liko kwa Mamlaka yao ya UTEUZI ambayo ni Rais John Joseph(Pombe Magufuli).
Huyu ndiye anayewapa kibri na jeuri ya kutukana, kudhalilisha na kuwaona Watu wengine si chochote.....!!
Jafo hapaswi kuishia hapo lazima sasa aende hatua moja mbele ya kumwona...
Kutoka watekaji RAIA WA KIZUNGU WALIOKUWA WANAONGEA LUGHA KAMA WASAUZ mpaka kugeuka kuwa LEMA WA CHADEMA! Something very terrible is coming to CHADEMA!It's bera you geri weli prepaid! Huu utawala haukupaswa uingie madarakani hata kwa sekanti imwe!
When Lissu was gunned down by the would be his .assassinators,some CCM henchmen celebrated as if it was just a CHADEMA case!
But as time ticks away neither CHADEMA nor CCM member is surelyy safe any more! Reading the so called CCM numbers is equally on our shoulders!
Well said Technically,
Lakini ukumbuke kwamba mfumo wa Siasa za Tanzania ni kwamba TAASISI YA URAIS inaongozwa na MWENYEKITI WA CCM.
Sasa kama Rais ni Mwenyekiti wa CCM unatenganishaji ADUI wa Watanzania kua ni Taasisi ya Urais na siyo CCM? ''CCM na MAGUFULI wote maji ga nyanza'' Mwl. J.K...
Jogi,
Hii ''Moooo' yako ni ya mlio wa 'Ngombe' au ni ya Mohamed Dewji(Mo)?
Ninajua Mo Dewji na Prof. Issa Shivji Dewji ni Raia wa Tanzania wenye asili ya Hindiya. Bila shaka Mzee Issa Shivji aliyekuwa Prof wa UDSM na Mwenyekiti wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere hakuwahi kuwazia au kuona matukio ya...
Tukio la kutekwa na baadaye kupatikana kwa Mo katika mazingira ya kutatanisha limeacha maswali mengi sana kwa Watz na dunia yote!
Kwa tukio hili na mengine mengi ambayo yamekuwa yakitokea lakini yanamalizika katika hali za kuacha maswali yasiyo na majibu kumezidi kuifanya serikali hii ya A5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.