hebu watanzania tuamke,at least Mwakyembe kathubutu,tuache WIVU KIKE,baya gani alilofanya MH. MWAKYEMBE? Kila la heri Mkuu,kila la kheri Dk,tunakuombea kwa MUNGU,Kila kikwazo KIONDOKE,hatari zote juu yako ZIYAYUKE in JESUS name,AMEEN.
usalama ni enzi za baba wa Taifa,siyo hawa wangoa kucha.Zamani ilikuwa mtu kabla hajaingia TISS anafanyiwa scouting kali na makini,kupima welewa wake,ujasiri wake,uzalendo wake kwa nchi,lakini kinyume na sasa watu wanaapply kwa mabwana wakubwa,matokeo yake ndo tabia za kungoa kucha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.