Recent content by TANZANIAWAN

  1. T

    Mwakyembe aagiza wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wakamatwe!

    hebu watanzania tuamke,at least Mwakyembe kathubutu,tuache WIVU KIKE,baya gani alilofanya MH. MWAKYEMBE? Kila la heri Mkuu,kila la kheri Dk,tunakuombea kwa MUNGU,Kila kikwazo KIONDOKE,hatari zote juu yako ZIYAYUKE in JESUS name,AMEEN.
  2. T

    Zijue Most Powerfull Intelligence Agencies duniani

    usalama ni enzi za baba wa Taifa,siyo hawa wang‘oa kucha.Zamani ilikuwa mtu kabla hajaingia TISS anafanyiwa scouting kali na makini,kupima welewa wake,ujasiri wake,uzalendo wake kwa nchi,lakini kinyume na sasa watu wanaapply kwa mabwana wakubwa,matokeo yake ndo tabia za kung‘oa kucha...
Back
Top Bottom