Recent content by Tanzaniaist

  1. T

    Masikini Prof. Kitila Mkumbo: Ndio basi tena!

    Kama hamjui Profesa Kitila Mkumbo anasumbuliwa na mambo yafuatayo: 1.Kukosa matumaini ya kulitwaa jimbo la iramba, baada ya ya Mwigulu Nchemba Kumzidi akili 2.Stress 4.Kufulia (kufilisika kifedha) 5.Akili,familia na maisha yake yanaongozwa na kumilikiwa na Zitto kabwe sasa anahamishia...
  2. T

    Slaa asema uongo tena, atangaza kuibiwa kura 2015 na kushutumu ununuzi wa Helkopta ya Rais

    Mtela Mwampamba Siamini haya maneno hapa juu yamesemwa na ndugu mtela mwampamba wa kile kipindi kile mwaka 2010. aliposimama kidete kuwakomboa wana mbozi, yule ambae watu walijitoa kwenda jela kupigania dhuluma aliyofanyiwa, kweli hapa duniani kuna watu na viatu.., kwa kuwa siasa ni safari...
  3. T

    CHADEMA huwalipa wanaoandamana

    Bukoba boy Meno na kucha zimeng'olewa,na wamenitoboa jicho
  4. T

    Freeman Mbowe vs Kansa Mbarouk - Uenyekiti CHADEMA

    +Yafuyatayo ni Mfanikio ya Freeman Aikaeli Mbowe ndani ya Chadema, kuanzia 2005 alipoombwa na wazee wa chama kugombea nafasi hiyo. 1.Kukitoa chama kutoka wabunge wanne 2000-2005,mpaka wabunge 23 wa kuchaguliwa na madiwani zaidi ya 300, na kukiwezesha chama chini ya uongozi wake kuongoza...
  5. T

    Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

    Huyu ndie Mchungaji Christopher Mtikila mwenyekiti wa Chama cha democratic Party ''DP''. Chama ambacho hakina balozi wa nyumba kumi,mwenyekiti wa mtaa,diwani,mbunge wala mwakilishi yeyote serikalini kutokana na mfumo mbovu wa mwenyekiti anayekiongoza mchungaji Mtikila. Kiukweli Mchungaji...
  6. T

    Waliohama CHADEMA hawakusaidia chochote chama,zaidi ya kuwa mzigo

    Wafuatao ni baadhi ya wanachama wa chadema waliohama chama, ambao walikuwa mzigo,na hawakuisadia lolote chadema..,na hata kuondoka kwao pengo lao halionekani 1.Mtela Mwampamba, Huyu ni kijana mpambanaji,shupavu na mwenye karama ya Uongozi..,lakini alishindwa kutumia weledi wake na utashi...
  7. T

    Yaliyomkuta godbless lema yatawakuta wanasiasa wengi

    Nimesikitishwa sana na siasa zinazoendela hapa Tanzania,..! inaonyesha jinsi gani akili za watz wengi ni wagumu kufikiria na wapesi kusahau..,siasa makini na za kistaarabu ni alama ya maendeleo lakini siasa za majitaka ni alama ya ukoloni mambo leo,umaskini,uchu wa madaraka na ujinga wa viongozi...
  8. T

    Lengo la Uongozi lisiwe Madaraka bali Mabadiliko yaliyojaa Utu – LEMA

    Pole sana Mheshimiwa hizo ndo siasa za majitaka ambazo ZZK amekujibu kwa kuwatumia vijana wake wakina mtela mwampamba na mfuasi wake Mwigamba baada ya kumweka njia panda kuhusu suala la yeye kupinga posho kinafiki.., Ndo changamoto za kisiasa Mh. usife moyo..,haswa hapa jamvini kuna vijana...
  9. T

    Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

    Ni Kweli Mh.Mbunge..! Zitto Kabwe kaponza wanasiasa wengi sana tukianza na 1.David Kafulila Na kuwaharibia future kisiasa vijana wetu 1.Mtela Mwampamba 2.Juliana Shonza 3.Habib Mchange Ambao ndoto zao za kuwa hata diwani zimeyeyuka
  10. T

    Ukweli kuhusu Rwanda, watutsi, Paul Kagame na uchochezi wa mch. Mtikila

    Siwezi kupoteza mda kubishana..,but hata pia FRED RWIGYEMA ALIKUWA MTUTSI NA ALIPIGANA KUIKOMBOA TANZANIA DHIDI YA NDULI IDD AMINI, AKISAIDIANA NA JESHI LA JWTZ...! NAMSHAANGAA MCHUNGAJI MTIKILA ATAWATUKANA WATUTSI AMBAO WALIPIGANIA UKOMBOZI WA TAIFA LETU,
  11. T

    Ukweli kuhusu Rwanda, watutsi, Paul Kagame na uchochezi wa mch. Mtikila

    Habari wanaJF..! Kwa muda sasa kumekuwa na mijadala mingi ikiilenga Rwanda, Paul Kagame na hususani kabila la Watutsi..! Na hili suala limekolezwa zaidi na mch.Christopher Mtikilia ambaye ni mwanasiasa hodari hapa nchini Tanzania na pia ni Mwenyekiti wa Chama cha DP.,kupitia waraka wake ambao...
  12. T

    Pendekezo: Hii ndiyo Timu ya CHADEMA itakayokivusha chama Salama!

    mwenyekiti..,freeman mbowe makamu mwenyekiti bara..,said arfi katibu mkuu..,dk.wilbroad slaa naibu katibu mkuu..,prof.abdallah safari mkurugenzi uenezi...,john mnyika mkurugenzi mafunzo..,dk.kitila mkumbo mkurugenzi operasheni na kampeni..,godbless lema mkurugenzi fedha..,david silinde...
  13. T

    Mwigulu, nilikuonya ukakataa sasa maji yako shingoni unanitafuta...

    SHAKMALA GUEST HOUSE ndio huwa unapelekagag wake za watu nini?
  14. T

    Barua yangu fupi kwa Mwalimu Nyerere (R.I.P)

    Mwalimu uliacha mti wenye matunda, Hukuthubutu kula hata tunda moja lakini wenzio uliowaachia wamekula matunda yote paka mti wameuuza! Siku hizi mwalimu Twiga wanapanda ndege Zile Nyumba ulizotuachia wenzio wamefanya mradi wa tajirika wale ambao walisoma seminari na kutibiwa kwenye hospitali...
Back
Top Bottom