Recent content by Tanzania Sweetheart

  1. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 12 Tukiwa kwa yule mganga alinichanja chale sehemu mbalimbali za mwili wangu akanipaka dawa na kuniwiza kwamba mtu yeyote atakayekuja kunichezea asifanikiwi na uchawi wake umrudie mwenyewe. “Wanangu, kwa kuwa nyinyi ndiyo wazazi wa huyu binti na mnaishi nyumba moja ni vizuri nanyi...
  2. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 11 Baada ya mama ambaye alikuwa mpole sana kusema mchawi huyo asamehewe kwa kuwa nilikuwa nimepona, mama mkubwa alimpinga na kusema: “Huyo hafai kuendelea kuishi, hivi mama Dorcas kama angekuulia huyu mtoto wako wa pekee ungejisikiaje, mimi sioni kama kuna sababu ya kumuonea...
  3. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 10 Tukiwa tunashangaa, mganga alisogea na kuchukua kichwa cha jogoo kilichokuwa cheusi, mdomoni kikiwa na kitambaa chekundu na utosini kilikuwa na unyoa mrefu. Baada ya kushika kichwa hicho, alisogea karibu yetu na kutuambia kichwa hicho na vitu vingine vilivyokuwa juu ya kile...
  4. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 09 Tukiwa pale tulimuona yule mganga ambaye tangu siku ya kwanza hakutuambia kuhusu malipo ya kazi yangu ingekuwa shilingi ngapi akiwa amemshika kuku mweusi mkono wa kusho na kulia alishika kisu. Moja kwa moja tulijua alikuwa akienda kumchinja, kwa kuwa nilikuwa mdogo nilijua yule...
  5. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 08 Tulipofika mganga ambaye alikuwa mkarimu sana alituuliza tulikuwa tunakunywa soda gani, wote tulimshukuru na kusema tungekunywa siku nyingine. “Hapana, lazima mnywe soda jamani, wala hazifuatwi mbali,” Dorcas anasema mganga aliwaambia kisha alimwita kijana wake ambaye alifika...
  6. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 07 Baada ya kunipa pole, nilimshukuru ndipo alituambia kwamba mara atakapoangalia na kuzungumza na watu wake angebaini chanzo cha matatizo yangu. Kwa kuwa pale sebuleni hapakuwa sehemu aliyokuwa akifanyia uganga wake, alituambia mimi na akina mama twende kwenye chumba cha kazi...
  7. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 06 Niliwapowaambia, mama alisema alishangazwa sana na matukio ya kuumwa yaliyokuwa yakiongozana mfululizo ambayo awali sikuwa nayo. “Unasema, hana tatizo la kupatwa na kizunguzungu?” yule daktari alimwuliza. Kufuatia kuulizwa hivyo, mama alimweleza yule daktari kwamba sikuwa...
  8. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 05 Baada ya akina mama kufika, mama mkubwa aliniuliza nini kilinisumbua kufikia hatua ya kulia, nilimwambia kichwa, akaniuliza kilinianza saa ngapi nikawaambia. Mama alipomuuliza daktari kuhusu matibabu, alimweleza alikwisha nipima kwa lengo la kujua kama nilikuwa na malaria...
  9. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 04 Kutokana na ukarimu aliokuwa nao mama huyo, mama alihuzunika sana alipoambiwa kwamba mumewe alikuwa amefariki dunia ndipo alimwuliza mama mkubwa kama alikuwa na watoto. “Aliniambia kwamba ana watoto watatu, wawili wa kike na wa kiume anaitwa Evance,” mama mkubwa alimfahamisha...
  10. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 03 Nilipomwambia ndiyo, akasema baba yangu alikuwepo hivyo nisiwe na wasiwasi ipo siku nitamuona kikubwa kuomba uzima, akaniomba nisiwe namuuliza mama kila wakati habari za baba. Baada ya mama mkubwa kutoa kauli hiyo, mama alinitazama kwa huruma akaanza kulia, mama mkubwa akaanza...
  11. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    SEHEMU YA 02 Mpenzi msomaji, toleo lilipita niliishia pale mama yake Dorcas akiwa na mama yake walipokwenda Kirando Rukwa lengo la mama huyo lilikuwa kumtafuta mzazi mwenzake ambaye tangu alipompa ujauzito hawakuonana. Je, alifanikiwa? Endele mbele… Baada ya kuwasili Kirando, tulifikia kwa...
  12. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Kilichonitokea baada ya kubakwa na kaka yangu

    MTUNZI: KULWA MWAIBALE MWANZO Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 25 ambaye ni yatima niliyezaliwa peke yangu kwa wazazi wangu ambao sikubahatika kuwaona, kwa sasa naishi jijini Dar es Salaam. Kutokana na mikasa niliyopitia maishani mwangu, sitapenda kuliweka wazi jina langu halisi...
  13. Tanzania Sweetheart

    Hadithi: Kama Sijakoma, Sitakoma Tena

    KAMA SIJAKOMA, SITAKOMA TENA MTUNZI: FAKI A FAKI SEHEMU YA TATU “Kitu gani hicho?” nikamuuliza. “Wewe ni mtu mkubwa na ni muelewa, si lazima nikueleze kila kitu. Unaweza kugundua kitu kwa akili yako” akaniambia. Sauti yake ilikuwa tulivu sana. “Ukiniambia hivyo unanipa mtihani, ninaweza...
  14. Tanzania Sweetheart

    Mkasa wa kweli: Barua Ya Kifo Toka Kuzimu

    BARUA TOKA KUZIMU MTUNZI: FAKI A FAKI SEHEMU YA 04 Tulipofika nyumbani kwa sheikh huyo tulibisha mlango na tulifunguliwa na kjana mmoja ambaye tulimuuliza kama sheikh yupo. “Yupo” akatujibu. “Karibuni ndani” Tuliingia ndani na kutokea sebuleni. Sheikh alikuwa ameketi upande wa kulia wa...
  15. Tanzania Sweetheart

    Hadithi: Kama Sijakoma, Sitakoma Tena

    Umelazimishwa kusoma?
Back
Top Bottom