Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Prof. Makame Mbarawa, amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma ni hatua ya kimkakati itakayoiunganisha Tanzania na masoko ya ukanda wa Maziwa Makuu kupitia mtandao wa kisasa wa reli.
Akizungumza na waandishi wa habari katika...
Shirika la Reli Tanzania (TRC), linaendelea na zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliopisha ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita Tabora–Kigoma, ambapo Julai 15, 2026 Wananchi wa Kijiji cha Nyamori kata ya ya Simbo Halmashauri ya Kigoma, wameanza kupokea stahiki zao.
Jumla ya...
Naibu Waziri wa uchukuz, Mhe. David Kihenzile, amesema Reli ya Kisasa (SGR) inaendelea kuwa kichocheo muhimu cha biashara, uchukuzi, miundombinu na ukuaji wa uchumi kwa kuwezesha usafirishaji wa abiria na mizigo kwa haraka, usalama na ufanisi.
Mhe. Kihenzile, ameyasema hayo Julai 06, 2026...
KUSIMAMA KWA HUDUMA ZA TRENI KUTOKANA NA HITILAFU KATΙΚΑ MFUMO WA GRIDI YA UMEME YA TAIFA
Dar es Salaam, Juni 27, 2026.
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kwa abiria wote kwa usumbufu uliojitokeza kufuatia kusimama kwa huduma za treni za Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na hitilafu...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya uchukuzi na Lojistiki ya Bravo Group, Bi. Angelina Ngalula, akiambatana na jopo la wataalamu wake wakiwemo wahandisi na wasanifu majengo, Juni 20, 2026 amefanya ziara ya kutembelea miundombinu ya Reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kati ya Stesheni ya Magufuli...
TAARIFA KWA UMMA
ONGEZEKO LA TRENI YA EMU KATI YA DODOMA NA DAR ES SALAAM
Dar es Salaam, Juni 12, 2026.
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linapenda kuuarifu umma kuwa, kufuatia ongezeko la mahitaji ya huduma ya usafiri, limeongeza treni ya Mchongoko (EMU) kwa siku ya Ijumaa Juni 12, 2026 kati ya...
Ununuzi wa magari ya Ford Ranger yanayotumia teknolojia ya laser uliofanywa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) unaashiria hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR).
Magari hayo, yaliyoboreshwa kuwa magari maalum ya Hi-Rail, yatatumika kukagua na kufuatilia reli...
=======
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limenunua magari mawili maalumu ya kisasa ili yatumike katika ukaguzi na upimaji wa reli mpya ya mwendokasi (SGR) kwa upande wa kipande cha kwanza na cha pili (Lot 1 & Lot 2).
Magari hayo yana uwezo wa kipekee wa kutembea juu ya reli kwa kutumia...
Wananchi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wajitokeza kushiriki zoezi la utwaaji wa ardhi ili kupisha ujenzi wa kambi ya mkandarasi Mradi wa Kimkakati wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha saba kutoka Uvinza hadi Malagarasi.
Zoezi hilo ambalo limesimamiwa na timu kutoka Shirika la Reli Tanzania...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linapenda kuuarifu umma kuwa, picha mjongeo (video) inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikidai Kichwa cha treni ya SGR kikiwa kinatoa mlio usio wa kawaida siyo ya kweli ni uzushi.
Baada ya kufuatilia kwa makini, Shirika linathibitisha kuwa treni zote za SGR...
Siku moja baada ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), kutangaza kuongeza safari za treni za SGR kati ya Dar es Salaam na Morogoro, kutoka mbili mpaka nne, baadhi ya abiria na wananchi wamezungumzia na kuonyesha mapokezi yao kuhusiana na hatua hiyo ya TRC.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti Jijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.