Recent content by Tanzania Railways Corp

  1. Tanzania Railways Corp

    Tanzania yaandika Historia mpya kwenye Sekta ya Reli!

    Kuanzishwa kwa uundaji na ukarabati wa vichwa vya treni za MGR (Meter Gauge Railway) nchini ni hatua kubwa kwa maendeleo ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Taifa kwa ujumla. Kiteknolojia Hatua hii inaashiria mwanzo wa kujitegemea kiteknolojia. Tanzania inaanza kujenga uwezo wa ndani wa...
  2. Tanzania Railways Corp

    TRC yaanza kuunda vichwa vya treni za mgr nchini, yawa nchi ya kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki kufanya hivyo, bunge lakoshwa

    Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, imelitolea wito Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuendelea kuwajengea uwezo vijana wa Kitanzania wanaounda na kukarabati vichwa vya treni za MGR, kwa kuwapa mafunzo thabiti ndani na nje ya nchi ili kuongeza maarifa, stadi na ubunifu katika utendaji wao...
  3. Tanzania Railways Corp

    TRC Yakabidhiwa eneo la isaka kwaajili ya kupokea mizigo kutoka bandari ya dsm kwenda nje ya nchi

    TRC YAKABIDHIWA ENEO LA ISAKA KWAAJILI YA KUPOKEA MIZIGO KUTOKA BANDARI YA DSM KWENDA NJE YA NCHI Shirika la Reli Tanzania (TRC), limekabidhiwa eneo la Isaka, Mkoani Shinyanga, kwaajili ya kupokea na kushushia mizigo kutoka Bandari ya Dsm na kisha kusafirishwa ndani na nje ya nchi. Eneo hilo...
  4. Tanzania Railways Corp

    Wananchi mkoa wa Mwanza wapata elimu kuhusu usalama wa mradi wa SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na kampeni ya kuhimiza wananchi waishio karibu na mradi wa Standard Gauge Railway (SGR) kipande cha tano Isaka - Mwanza kulinda miundombinu ya reli kutokana na umuhimu wake mkubwa kwa maendeleo ya uchumi na usafirishaji. Katika mikutano ya hadhara...
  5. Tanzania Railways Corp

    TRC yaanza rasmi usafirishaji wa mizigo kwa kutumia container carriers SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza rasmi usafirishaji wa makasha kwa kutumia reli ya Standard Gauge, hatua inayolenga kupanua wigo wa biashara, kupunguza msongamano wa mizigo bandarini na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kwenda mikoa ya kati ya nchi. Akizungumza wakati wa kuanza safari...
  6. Tanzania Railways Corp

    Wahudumu wapya 65 watakaohudumu ndani ya treni ya kisasa ya SGR

    Wahudumu wapya 65 watakaohudumu ndani ya treni ya kisasa ya SGR, leo wamehitimu mafunzo yao ya wiki nne tayari kuanza majukumu yao Februari 02, 2026 Mafunzo hayo yaliyolenga kuwapa maarifa na stadi ili kuleta tija, yalijikita katika maeneo mbalimbali hususani katika kuwahudumia abiria kwa...
  7. Tanzania Railways Corp

    Simiyu waishukuru serikali kwa malipo ya fidia

    Wananchi wa Kata ya Badi Vijiji vya Mashimba na Mhadi wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Wameishukuru Serikali kwa Kuwalipa fidia zao Kutokana na kuchukua maeneo yao ili kupisha njia ya umeme mkubwa utakaotumika kuendeshea Treni za SGR katika kuapnde cha Tano cha Isaka - Mwanza . Hayo yamejili...
  8. Tanzania Railways Corp

    Responded Serikali yaanza kulipa Tsh. 3.66 Bilioni kwa wananchi 2,471 wa mikoa ya Simiyu, Mwanza, Shinyanga na Tabora wanaopisha SGR

    Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imeanza zoezi la kulipa fidia ya Shilingi bn 3.66 kwa wananchi 2,471 wa Mikoa ya Simiyu ,Mwanza, Shinyanga na Tabora, ambao maeneo yao yametwaliwa kupisha Umeme wa msongo mkubwa utakaotumika katika mradi wa SGR kipande cha 5 (Isaka-Mwanza)...
  9. Tanzania Railways Corp

    Ugumu zoezi la urejeshaji wa nauli za SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na zoezi la urejeshaji wa nauli kwa abiria aliyeshindwa kusafiri Desemba 31, 2025 jioni na Januari 1- 2, 2025 kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu. Hata hivyo zoezi hili limekumbwa na ugumu kufuatia baadhi ya abiria kukatiwa tiketi na watu...
  10. Tanzania Railways Corp

    Uwekezaji SGR; sekta binafsi washirikishwe

    Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa ametembelea banda la Shirika la Reli Tanzania (TRC) katika maadhimisho ya Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini yanayoendelea kufanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja vilivyopo jijini Dar es Salaam. Mhe. Prof. Mbarawa amesisitiza suala la ushirikishwaji...
  11. Tanzania Railways Corp

    TRC, TCB Wazindua kadi ya malipo ya tiketi usafiri wa SGR

    Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara kutoka TRC Bw. Fredrick Masawe (kushoto) pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TCB Bw. Jema Msuya wakionesha kadi ya malipo ya kabla ya tiketi ya SGR iitwayo TRC Prepaid Card wakati wa uzinduzi wa kadi hiyo yenye lengo la kuongeza ufanisi katika uuzaji...
  12. Tanzania Railways Corp

    TRC kuajiri wafanyakazi 2,460 mradi wa SGR kutoka Dar mpaka Makutupora

    Shirika la Reli Tanzania linatarajia kuajiri wafanyakazi 2,460 katika mradi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kwa vipande viwili vya kutoka Dar es Salaam mpaka Makutopora. Ajira hizo ni mbali na zaidi ya ajira 115,000 ambazo tayari zinatokana na mkandarasi katika kipande cha kwanza mpaka...
  13. Tanzania Railways Corp

    Taadhari na Onyo Bookaway siyo wakala wa tiketi za SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) linautahadharisha umma kuhusiana na tabia iliyojitokeza hivi karibuni ya baadhi ya watu kujihusisha na utoaji wa tiketi za huduma ya reli ya kisasa ya Standard Gauge Railway (SGR) kinyume na utaratibu. Shirika linapenda kufafanua kuwa TRC haina wakala yeyote...
  14. Tanzania Railways Corp

    Uzinduzi wa Usafirishaji mizigo kwa SGR

    sg
  15. Tanzania Railways Corp

    Mkurugenzi Mkuu TRC awasihi wananchi kutembelea banda la TRC Sabasaba

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Mhandisi Machibya Masanja ametembelea banda TRC katika maonesho ya kimataifa ya biashara (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya maonesho hayo kufunguliwa rasmi Julai 7, 2025 na Rais...
Back
Top Bottom