Recent content by Tanzania Njema Yaja

  1. T

    Mdee: Kilimo kinachoajiri watanzania 75% tunaweka bil 11 ila ndege mabovu tunaweka trilioni

    Mwaka ulio pita wa fedha walitengewa kama 100Bi na kupewa 2% yaani 2Bi...... acha waisome no ndo wanao wapa ccm ushindi...
  2. T

    Musiba: Nina majina 1,800 ya wanaompa Mange Kimambi siri za Serikali; kuna vigogo wa Serikali, CCM na CHADEMA

    Hivo bora TL afe ili tawala ziendelee.... mbona kama anaji expose huyu kahaba....
  3. T

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    Mkuu nenda kwa TBJoshua fasta.... Mingu ni mwema.....plz go....
  4. T

    Halima Mdee kuwa macho sana na ujumbe uliouandika twitter

    Ha haaa.... kwani anamjua kajibwa ni nani? Kisheria hamna kitu hapo....
  5. T

    Mbunge wa Bunda (CHADEMA), Ester Bulaya ang'ang'aniwa Polisi

    Yana mwisho.... makanisani kama watu, mitaani mashetani......
  6. T

    UDADISI: Vikao vya kila mara BOT Mwanza na Ushirika usiopendeza wa Magufuli, Charles Kitwanga na Modestus Kipilimba

    Alipita NEC then DG NIDA then TISS... yaani kaenda faster faster.... hiv kabila gani yule? Ha haaaaaa haaaaa....
  7. T

    Unadhani vyama vya upinzani kwa siasa za Tanzania wanakosea wapi?

    Kama baba umeamua kuwaterorize watoto wako nyumbani, ukifika wawe wamelala, wakikuona ni salam tu na baada ya hapo waingie vyumbani, hamna kutizama tv, hamna kucheka, ukiwapiga hamna kulia wakae kimya tu maana utaendela kuwapiga, mwenye Tatizo ni baba au watoto?
  8. T

    CHADEMA walaani viongozi wao kunyimwa dhamana. Wasema mpango wote unaratibiwa na ofisi kubwa

    Wewe una shida. .... hapo walioko ndani ni viongoz wa cdm wote na sio mbowe peke yake... hata kama unalipwa tumia akili kdg....
  9. T

    CHADEMA walaani viongozi wao kunyimwa dhamana. Wasema mpango wote unaratibiwa na ofisi kubwa

    Dah.... sasa naona wanataka wapinzani wahubir viwanda nadhani..... waanze na viwanda vya madawa......wataweza kweli? Hapa wanatafuta kulipasua taifa letu....
  10. T

    Hotuba inayomtesa Mbowe na viongozi wa CHADEMA hii hapa

    Mkuu ile kichwa ya Mbowe ni hatari.... jamaa yuko vizuri sana....
Back
Top Bottom