Kama baba umeamua kuwaterorize watoto wako nyumbani, ukifika wawe wamelala, wakikuona ni salam tu na baada ya hapo waingie vyumbani, hamna kutizama tv, hamna kucheka, ukiwapiga hamna kulia wakae kimya tu maana utaendela kuwapiga, mwenye Tatizo ni baba au watoto?
Dah.... sasa naona wanataka wapinzani wahubir viwanda nadhani..... waanze na viwanda vya madawa......wataweza kweli? Hapa wanatafuta kulipasua taifa letu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.