Recent content by Tanzaman

  1. T

    “Ndoa ilivunjika kisa mwanamke aliolewa na Down low”

    Down Low ni mwanaume ambaye ni bisexual ambaye hufanya mapenzi na jinsia zote , ya kike na kiume , ila ile ya kiume hufanya kwa siri sana. Ikumbukwe kuna homosexual na bisexual. Homosexual anaweza kuwa msiri na anaweza kuwa na mke wa kuzugia , ila utakuta hamfanyi chochote huyo mke na...
  2. T

    “Ndoa ilivunjika kisa mwanamke aliolewa na Down low”

    DL aka Down Low ni mwamaume bisexual ambaye huwa na mahusiano na mwanamke lakini kisiri hupenda kufanya mapenzi na mwanaume mwezake.
  3. T

    Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

    Ukitaka fupisha mlolongo wa kukaa darasani inakuwa hivi Certificate ->Diploma ->Advance Diploma-> Masters Degree. Kwake naona Advance Diploma ina miss ila inawezekana Mfumo unaruhusu kama vile kuwa na Associate Degree halafu kufanya mastres .
  4. T

    mtoto kaamka kavimba chini ya masikia (mashavu) na homa kali

    Lymph nodes hizo vime vimba ssbabu ya infection.
  5. T

    Jinsi ya kumsaidia mtoto aliyeanza kujihusisha na ushoga!

    Tunavyo amini ni hivyo sababu kama kunge kuwa sivyo basi kungesha kuwepo na rehab ya kuondoa ushoga lakini hakuna sababu ni uhalisia wa mtu wa kuzaliwa nao , hivyo ni kweli wengi huzaliwa na hali hiyo na hawakuwahi bakwa . Mara zote sexuality ya mtu haibadiliki kwa kuiga yule anaye knekana...
  6. T

    Jinsi ya kumsaidia mtoto aliyeanza kujihusisha na ushoga!

    Mtu kama ni shoga ni kazaliwa hivyo huwezi mbadilisha wako ambao hufanya vitendo vya kishoga na sio mashoga hao ndio huweza badilika sababu hufanya kwa kujioatia kitu na pia wako ambao wao huweza tembea na jinsia ya kike na ya kiume hao pia huweza jizuia kuacha kufanya ushoga na kubaki na...
  7. T

    Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

    Nina kushukuru sana ningependa kujuuliza kwa private
  8. T

    Jinsi ya kumsaidia mtoto aliyeanza kujihusisha na ushoga!

    Sexuality huwa haiigwi wala haibadilishwi , hao walio bakwa hawawezi kuwa mashoga ila wanafanya vitendo vya kishoga , sababu ya maisha .. Gays ni wamezaliwa na sexuality hiyo.
  9. T

    Jinsi ya kumsaidia mtoto aliyeanza kujihusisha na ushoga!

    Labda ungechunguza kwanza nini kimemfanya mwanao kufanya vitendo hivyo je kalazimishwa, kapenda mwenyewe au ni hali ya uchumi nikiwa na maana ya tamaa ya pesa? Ninavho ona ni kuna uwezekano mtoto ni kazaliwa hivyo .Shoga anaye weza kuacha ushoga ni yule tuu anaye fanya kwa tamaa ya pesa kwa...
  10. T

    Mauaji ya kutisha yafanyika Wilayani Mwanga. Rais tafadhali ingilia kati uisaidie hii familia

    Kaficha na hawezi kusema sababu ina elekea ni tuhuma za uchawi huko Mwanga ni kumebobea mambo hayo .
  11. T

    Sija piga mswaki kwa siku tatu

    Uuuuwiiiii jamani baada ya kuchomwa sindano ya dozi ya antibiotic kwa siku tano na dawa kusha nguvu , nikasema sisikii harufu hata ya choo na mdomo haunuki , saa jamani nime patwa na kikwapa hatari yani kina tema balaa na nisioo piga mswaki ni balaa, jamani nimechokoza nini huko tumboni ? Hiki...
  12. T

    Nimepiga punyeto kwa muda wa miaka 17 na nimeshindwa kuiacha kabisa

    nakubaliana kabisa kwa hiina ndio maan sitacha , niliacha nikapata UTI nika pigwa sindano tano .
Back
Top Bottom