Recent content by Tanza movie

  1. T

    Halotel wanawaibia wateja

    Kwel kbs airtel ns mtandao wa kutumia na wako vzr sana kuliko wengin
  2. T

    Halotel wanawaibia wateja

    Nilikaa nikaona halotel internet yao iko fasta sana nikasema hii itanifaa maan ukifungua kitu chocht hukai kusubir ni hapo hapo ishafungua... Nikaona saf nikaweka 10000 nikajiunga bando la mwez Gb 10 na madkk ya kutosha,,,, siku ya kwnz nmetumia ya pili nikajikuta nina Gb 2 kesho yake empty sina...
  3. T

    Natafuta Nokia X andriod version

    Nafuta hii nokia X kww wakaz wa moshi na maeneo ya karibu km uko nayo na unauza tujuzane bei tufanye biashara
  4. T

    Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

    Mi nilichogundua hawa watu wanataka wazid kukopi movie za nje halaf wajifanye wabunifu,,,, kuna movie ya kihindi inaitwa ya kibongo inaitwa family imechezwa na hemed wema na anty ezekiel den ukichek muvi ya kihindi inaitwa my family matukio ni yale yale waloigiza kina wema lkn watasema walipata...
Back
Top Bottom