Recent content by Tanu

  1. T

    CCM; Ochele Obuto hafai kuwa mbunge wa Rorya

    airo ubaya wake mkubwa ni kuasisi mauaji na mapigano ya mwaka 1999 may yaliyotekeza wajaluo na wakurya wengi.alifadhiri mkutano wa maandalizi kwa kata za koryo,nyathorogo ,mirare nk
  2. T

    CCM; Ochele Obuto hafai kuwa mbunge wa Rorya

    Kwanza Charlesi Ochele obutu ana yafutayo anayotuhumiwa na ambayo kiongozi hafai kuwa nayo na kama atakanusha mfuateni mumulize 1.YEYE sio raia wa Tanzania kwa kuwa yeye ni mjaluo wa kenya pamoja kuwa jamaa zake wapo pale roche ratia rorya,mzazi wake ni wa kenya hapo alipo ni kwa baba mdogo...
  3. T

    Prof. Mwajabu Possi wa UDSM aula TBC

    it is true gachuma ana fedha kibao za kusaidia uchaguzi kanda ya ziwa na mara,lakini he is a mere standard seven je atashauri nini katika taaluma ya michezo na tena mwenyekiti.tuchunguze waziri kwao wapi/
  4. T

    Hali tete Central Police Dar; wafuasi wa Sheikh Ponda waanzisha purukushani!

    hapa dunia yaja.jk shughulikia hao hata kama dini yako.vizazi vyetu tunataka wafaidi ulithi wa mwl nyerere
Back
Top Bottom