Jaribu kufanya maombi ya kufunga,ukijinyima mambo ambayo wewe unayapenda huku ukimtafakari Yesu ,kwa njia hii,badilisha aina ya simu ,tumia simu isiyo na mtandao wakati wako wote wa maombi,weka nia ya kusoma biblia wakati wote wa upweke ,mwisho katika maombi yako omba toba kwa kurudia dhambi...