Hii mikutano yao wanayofanya wakimaliza wanazusha vurugu ili wapate kuwaibia watu wanaingia madukani mahotelini kupora hata ukikutwa barabarani wanakuvamia na kukupora ndo makamanda hao???? Akili kunkichwa!
Baada ya kusomewa mashitaka thamana iko waziwadhamini 2 na fedha milioni 10 miezi miwili hanakesi yakujibu. uko huru mu he shi miwa chezea Jeshi la polisi ww.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.