Hao ccm wangekuw na akili wasingetoa taarifa yoyote wakamkamata Lissu kwa xaxa ivi hawatamweza mana walixhatoa maelezo kuhusu ndege ya Rais aliyoxhindwa kuikomboa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao wanahonga viongozi wetu lakn hawajui kam wanaliwa pesa zao mana unaweza ukamhonga kiongozi na viongozi hao hao wanafanya kazi zile zile watafanyaj????
Wananchi ndo waamuzi wa mwixho.
Na xaxa ivi viongozi wao wanajiunga chadema kwani hao ndo walioangalia mbele kuwa kinachofanywa na ccm cyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.