Recent content by Tanganyikani

  1. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wanaona aibu kukemea ufisadi ndani ya chama chao?

    Heche ni Untouchable 😀😀
  2. T

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Nichangie Zipigwe tena?
  3. T

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Mi ni kamanda
  4. T

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

    Mkuu mbona hauko sawa?
  5. T

    JamiiForums Tanzania Diploma in physiotherapy (mazoezi tiba).

    Haina tofauti na wadada wanaofanya massage na scrub kwenye Saloon 😀😀😀
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Rugemeleza Nshala kuzungumza leo Jumatatu Julai 27, 2026

    Tujiandae kwa Mitusi mikubwa kubwa😂😂😂
  7. T

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Makamanda Shalom! Nimekua nikitafakari kwa muda sana ni ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA atajiuzulu ili uchunguzi huru ufanyike kwani sisi wanachama tunapata shida sana huku mitaani chama kimechafuka kwa kiasi kikubwa. Makamanda mna maoni gani huyu jamaa mbona hatupishi?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Hakimu unaanzaje Kumfunga Mtu Jela Miaka 30 au Maisha kisa Bangi kilo Moja?

    Yes, wanawake wana public sympathy
  9. T

    JamiiForums Tanzania Hakimu unaanzaje Kumfunga Mtu Jela Miaka 30 au Maisha kisa Bangi kilo Moja?

    Za Uzito mdogo wengi wanaongea katika mahakama za Wilaya so wanaongea wenyewe bila wakili. Sema mahakama za wilaya huwa zinawaachia matobo mengi sana hapo akienda Rufaa high court anatemwa
  10. T

    JamiiForums Tanzania Hakimu unaanzaje Kumfunga Mtu Jela Miaka 30 au Maisha kisa Bangi kilo Moja?

    Soma Kwanza Sheria
  11. T

    JamiiForums Tanzania Hakimu unaanzaje Kumfunga Mtu Jela Miaka 30 au Maisha kisa Bangi kilo Moja?

    Hakuna Hakimu au Jaji anaweza Kumfunga mtu ni Sheria ndiyo inayofunga
  12. T

    JamiiForums Tanzania UKWELI MCHUNGU: Hakuna kitu CHADEMA itapata na kufanikisha bila kwenda kwenye meza ya Mazungumzo. Watasambaratika kama mchanga ardhini

    Bila Maridhiano maana yake Uchaguzi wa 2030 hawapo tena? Wanafikiria kwa kutumia makalio
  13. T

    JamiiForums Tanzania Anatafutwa mtu wa kazi

    Aoe tuu kwa miaka 27 mbona naona anataka sifa za mke?
Back
Top Bottom